Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Hivi ukimkamata mwizi aliye Iba na akapelekwa mahakamani, kule mahakamani mwizi akatoa rushwa akaachiwa huru - je! Yule aliye mkamata, ataona aibu au itakuaje? Ni kweli ataona aibu! Hata huyo mhalifu akiwa bosi wa huyu aliye mkamata? Feeling ya aliye Kamata huyo mhalifu ni aibu?!
Mimi si fikiri ni aibu maana huyu bado ni mhalifu na mwingine bado ndiye aliubaini huo uhalifu!
Huyo aliyekamata mwizi atafedheheka sana na hasa akigundua kuwa amemkamata mwenye mali! CCM ina wenyewe na wenyewe ndiyo hao aliowakamata hivyo kitakachofuata ni kuomba msamaha!
 
Hata wao nao wamewapa maumivu makao sana Watanzania. Bashiru aliwanyang'anya wanyang'anyi mali za CCM walixokuwa wamejimilikisha. Hivyo alikuwa sahihi
Sasa atakula jeuri yake!
 
Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.
Daima tuwe na akiba ya maneno, midomo michafu na kujiona wafalme watu kama hawa ndio kunawapoza;
Bashiru
mropokaji polepole
'mhujumu maisha ya watu' Bashite
hayawani musiba
Jambazi sabaya
 
Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.
Any movement is subject to change of positions of the gearing tools, hakuna baiskeli au gari litatembea bila pedal au piston kupanda na kushuka kwa kupishana
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.
Chochea chochea..!
 
Usiabudi miungu mingne
Sasa bashiri aliabudu miungu mingne akasahau kuna Mungu/Alah sasa wacha kazi iendelee
 
Mwenyezi Mungu tunayemuabudu si wa Kinana wala Bashiru.
Muda utaongea
 
Itakumbukwa mwaka 2019 aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM Bw. Bashiru aliwapuuza na kuwafananisha na mpira wa chandimu makatibu wakuu waliomtangulia Makamba na Kinana. Aidha aliwaambia wahamie upinzani kama hawawezi kwenda na kasi ya CCM mpya.

Haya yalitokea baada ya Wazee hawa kulalamika kuwa simu zao zimedukuliwa na wafuasi wa Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM. Wengine ambao Bashiru aliwashughulikia ni January Makamba na Nape Nauye ambao wote hivi sasa ni mawaziri katika serikali ya Samia.

Mwingine aliyenyolewa bila maji na wembe wa Bashiru ni Benard Membe hadi akahamia ACT Wazalendo.

Watanzania kwa kutunga Story za kutafuta Shida za lazima Hamjambo. Ungemjua kwanza dr Bashiru ndo ungeandika. Tunapenda sana kulazimisha Shida zetu ziwe za wengine kwa sababu zetu binafsi.
 
Cha muhimu ukiwa madarakani tenda haki kula keki yako tartiiiibu usiwasahau na wengine na usione uliowazd wote km wapumbavu. Maisha utakuwa umeyapatia sana
 
Watanzania kwa kutunga Story za kutafuta Shida za lazima Hamjambo. Ungemjua kwanza dr Bashiru ndo ungeandika. Tunapenda sana kulazimisha Shida zetu ziwe za wengine kwa sababu zetu binafsi.
Wewe umemjulia wapi?
 
Back
Top Bottom