Bashungwa, John Paul Wanga hafai kuendelea na ukurugenzi, ukiacha Jimbo la Musukuma, mradi wa viwanja Buwelu East alitapeli,Waziri wa ardhi fuatilia

Bashungwa, John Paul Wanga hafai kuendelea na ukurugenzi, ukiacha Jimbo la Musukuma, mradi wa viwanja Buwelu East alitapeli,Waziri wa ardhi fuatilia

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
John Paul Wanga, ni sehemu ya ukoo wa magufuli, amelalamikiwa sana na Mbunge Musukuma kwa ufisadi katika halmashauri yake, lakini alipokuwa Ilemela, kilikuwa na mradi wa Buswelu East wa viwanja, walitapeli kwamba watapeleka barabara,maji, umeme, vyote havipo, na tunaambiwa Hela nyingi ilishalipwa.

Nashauri halmashauri ya Ilemela pia ikaguliwe kwa kipindi alichoongoza, najua ana tabia ya kuhonga madiwani ili wasimbane.

Bashungwa, hebu muondoe huyu,anachafua serikali, ni bilionea kwa sasa
 
Namshauri Angelina Mabula afanye ukaguzi wa kina pale ardhi Ilemela, au halmashauri nzima ikaguliwe, alikuwa anafadhili kampeni za madiwani ili wakishinda wamfichie Siri zake na kuzima skendo zake
 
Ni DED wa kitambo sn
John Paul Wanga, ni sehemu ya ukoo wa magufuli, amelalamikiwa sana na Mbunge Musukuma kwa ufisadi katika halmashauri yake, lakini alipokuwa Ilemela, kilikuwa na mradi wa Buswelu East wa viwanja, walitapeli kwamba watapeleka barabara,maji, umeme, vyote havipo, na tunaambiwa Hela nyingi ilishalipwa.

Nashauri halmashauri ya Ilemela pia ikaguliwe kwa kipindi alichoongoza, najua ana tabia ya kuhonga madiwani ili wasimbane.

Bashungwa, hebu muondoe huyu,anachafua serikali, ni bilionea kwa sasa
 
kwani walioruhusiwa kula kwa urefu wa kamba ni nani na nani. au huyo kakata kamba kakuingilia
 
Bashungwa huko serikali za mitaa yaani halmashauri za wilaya ,miji,manispaa na majiji kulijaa na Bado wapo wakirugenzi kama huyo anayetajwa,kwako ni mtihani mkubwa kusafisha watu wa Jiwe, ila ukitumia vijana waadilifu huko seriklini utawabaini tu.
 
Wakuu wa idara mna taabu sana. Wivu wa nini. Mnajua akitumbuliwa mtakaimu. Kazi njema warafuta vyeo
 
Wakuu wa idara mna taabu sana. Wivu wa nini. Mnajua akitumbuliwa mtakaimu. Kazi njema warafuta vyeo
Huyo atolewe. Musukuma ana guts za kusema na wakati unamruhusu, Angelina Mabula asingeweza kusema kwa sababu alikuwa serikalini, na pili Wanga alikuwa mtu wa Jiwe
 
Hapo Sasa najiuliza Huyo mama ana mpango Gani na sisi watz,Tena kampa asimamie handaki ambalo jiwe aliweka askari wake,kweli inakatisha tamaa kama tupo salama
Mama ampe mamlaka ya kuwashona wakurugenzi wa aina hii, hawa ndio wanagusa wananchi moja kwa moja
 
Ile round about ya pale Buswelu, Kuna nyumba ya Musukuma ilivunjwa japo kulikuwa na amri ya mahakama, Sasa Wanga baada ya kuivunja, amepelekwa kwa adui yake akawe Mkurugenzi, Musukuma anamshona, japo malalamiko ya Musukuma yana msingi, hii inaitwa akuanzae mmalize
 
Namshauri Angelina Mabula afanye ukaguzi wa kina pale ardhi Ilemela, au halmashauri nzima ikaguliwe, alikuwa anafadhili kampeni za madiwani ili wakishinda wamfichie Siri zake na kuzima skendo zake
Hhhhhhhh
 
Pale Buswelu East Kuna daraja limejengwa halijaisha mpaka Leo, halijaungwa na barabara, hiyo satellite town itaishaje Sasa? Watu wanapelekaje material za ujenzi? Wakati wa mvua barabara ni takataka, na Waziri wa ardhi anatokea hapo hapo, Hela za watu zimeliwa kwa ahadi za uongo, na wametekelezwa, wizara ikague mradi huu na wananchi wapewe ahadi kama zilivyoahidiwa wakati wa kuuza viwanja
 
Back
Top Bottom