Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Huyo ndiye Rais wako utake usitake Kanisa wameshapitishaInnocent alipokuwa wizara ali achieve nini
Innocent tamisemi amefanya nini..?
Tupime watu kwa mafanikio kwenye wizara walizopewa
Au wazuri hawafi [emoji23][emoji23]
Ili mtu kutembea, sio lazima viatu vikufiti, vikikupwaya unaongeza shoe carpet, unaweza kuongeza matambara na ukatembea poa kabisa!. Ila iwapo viatu havikufiti vizuri, vinakupwa, kukimbia ndio hutaweza!. Kazi ile sio ya kukimbizana mchaka mchaka, au kupiga pushups!. Unamkumbuka yule aliyekimbiaga mchaka mchaka na kupiga pushups yuko wapi?.Pascal Mayalla mtu wako uliyemtaja viatu vinampwaya huku Zanzibar, njoo Zanzibar uone anavyopwaya hadi wenye nchi hawamwelewi
Ni Mungu pekee huweka serikali za mataifa.Na kingine Mungu kwa sasa huwa hachagui viongozi bali wanadamu huchangua kisha mkiwa mnampeleka/wapeleka kwa Mungu kwa njia ya maombi Mungu hutia baraka zake kwa huyo/hao viongozi na uongozi wao,
Viongozi wachanguliwe na Deep State halafu aje mtu aseme amechaguliwa na Mungu?
Serious?
Tuogopeni kumsingizia Mungu na mengine ambayo hahusiki nayo.
Hata mimi nimeliona hili kitambo sana.Nimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Jk pekee ndio aliyekuwa Rais kwa kujiandaa na mipango kabambe, wengine wote hawakujua siku wala saa. Nchi ikiwa inaandaa mtu kwa codes nyepesi namna hii sio salama kwa Taifa. Mtu anatakiwa kuwa surprise maadui wapate kazi ya kum profile na kutabiri nini kitatokea.Wanaandaliwa wawili.
Baahungwa na Riziwani
Wote hawa lazima wapite Tamisemi, Ofisi ya Rais utawala bora ambako Kuna wale jamaa wa suti nyeusi.
Lazima wapite Ulinzi na Foreign affairs kwa nyakati tofauti.
Ila naona rimoti ya msoga ilkifaulu zaidi kuchezesha mchezo vizuri, processor akiwa Mzee Kinana kwa ukaribu.
Walioko nje ya matazamio lkn wako ktk maandalizi kabambe Ni pamoja na Marope,na huyu anayekwapua pale hazina.
Haturudii makosa kuwapa nchi banyamulengeNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Huyu YEYE ni nani?Anayepanga nani awe rais wetu, sio wewe, sio mimi na sio rais aliyepo madarakani, ni YEYE.
P
Bado unaota CCM washindiNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Je unajua Che alizaliwa Nchumbiji?, Unajujua hata yule Blaza wangu, hakuzaliwa hapa?, na Baba halisi sii wa kwetu?. Alipokuja kuna walimuona na wanajua kila kitu!. Tena asingeitwa, alikuwa amkabidhi urais ndugu yake wa kwao!, yule Daktari!. Kanisome hapa Pascal Mayalla amchambua Dkt. Bashiru, adai aliandaliwa kuwa Rais 2025ACHA kuwasagia kunguni wajomba zangu wa karagwe mkuu!!
Mbona una wasanua vipepeo!!?
Wadau naomba kuuliza InnocentNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Haturudii makosa kuwapa nchi banyamulenge
Ahaaaa, ahaaaaaa Bro Pascal Mayalla hatari sana "Hivyo viatu visipomfiti, vinafitishwa vinafitishwa" πππ aya bhana, lakini sasa hao wenye kufanya viatu vifiti inabidi wamsaidie huko Zanzibar viweze kumfiti.Ili mtu kutembea, sio lazima viatu vikufiti, vikikupwaya unaongeza shoe carpet, unaweza kuongeza matambara na ukatembea poa kabisa!. Ila iwapo viatu havikufiti vizuri, vinakupwa, kukimbia ndio hutaweza!. Kazi ile sio ya kukimbizana mchaka mchaka, au kupiga pushups!. Unamkumbuka yule aliyekimbiaga mchaka mchaka na kupiga pushups yuko wapi?.
Hivyo viatu visipomfiti, vinafitishwa vinafitishwa!.
P
Team EdoHamjamfikiria Dr Nchimbi mbona? Kimya kingi kina mshindo..
George Simbachawene kwani si RC?Huyo ndiye Rais wako utake usitake Kanisa wameshapitisha
rais ajae ni ndugu tundu lissu........chuma kweli kweli huyu jamaaa,naona kabisa tutafika mbaliNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.