Geofre Maseta
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 881
- 1,632
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Innocent Bashungwa katengenezwa na nani? Nani kamwimbua?Nimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Bado unaamini katika ndoto au wewe ndiye Bashungwa au kakutuma. Hakuna anayeweza kujua ya kesho acha ujinga mwananguNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Ushuuuzi mtupu kwani Mhaya si mtanzania? Ungejua kanda ya ziwa wote ni kabila moja lilopewa majina tofauti yaani wahaya, wakurya, wasukuma hata waha usingetoa utumbo huu. Hukkuwahi kumsikia Magu akitema kihaya kama hana akili nzuri au hujui?Mhaya hatakuja kuwa Rais Tanzania
Na alipo guswa tu,akanuka.Huyo " niguse ninuke wenu" mkanywe nae chai!!
Picha yake tumjue tutakupa majawabu.Nimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wamgomee nani mafala wale???
Nimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Kwa Katiba hii na muundo wa NEC hii hata Bambo akipitishwa na CCM anakuwa Rais saa nne asubuhi tu. Hadi sasa kura ya kwenye sanduku haina maana wala thamani katika nchi hiiNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Tofautisha maono na ndotoNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Kwaiyo uyo atawageuka kama magufuli? Nazani ni mpole na atakubali kuongozwa na wale wanao washwawashwaNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Kwa bongo Ni donati kabisa. Wee Rais uliye nayeulimchagua? Si aliserereka hadi ikulu akajikuta raisi.Urais si maandazi ya kugawana msibani.