Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wabongo kwa kukuza mambo bhana.... Kabla ya mwaka 2015 gari zilikua zinafika Kahama saa 11 jioni halafu leo unasema ati basi limekimbia speed sana.Jamaa wanachezea vts wanakimbia zaid ya 85+ kph na barabaran wanahonga trfc wasiwapige tochi ukiwafata nyuma bila ramani utachezea fain njia nzima huku wao wanapeta bila kusimamishwa hyo chuma imetoka dar inaelekea bkb kwa muda huu ni lazma imepita isaka kwenye saa 20.15 inamaana kaham ingeingia saa 21.00 ni speed kubwa sana aliyotembea nayo njia nzima hakustahili muda huu awe hapo ila kwakua ajali imetokea waangalie timetable yake vzur watagundua alikua mwendo kas haswa wanasababshia watu ulemavu na vifo kwasababu ya ligi barabaran
Nchi inayopambana na tozo kiasi hichi haitakiwi kwenda polepole tunachohitaji ni miundombinu mazingira wezeshi ya kuepusha ajali.Jamaa wanachezea vts wanakimbia zaid ya 85+ kph na barabaran wanahonga trfc wasiwapige tochi ukiwafata nyuma bila ramani utachezea fain njia nzima huku wao wanapeta bila kusimamishwa hyo chuma imetoka dar inaelekea bkb kwa muda huu ni lazma imepita isaka kwenye saa 20.15 inamaana kaham ingeingia saa 21.00 ni speed kubwa sana aliyotembea nayo njia nzima hakustahili muda huu awe hapo ila kwakua ajali imetokea waangalie timetable yake vzur watagundua alikua mwendo kas haswa wanasababshia watu ulemavu na vifo kwasababu ya ligi barabaran
Wewe mkongwe unanitia aibu sana na kusema High speed Kills wakati mlikua mkifika Mbeya saa 7 au 8 mchana kutokea Dar kwa mabasi yenye mwendo kasi mkubwa.High speed kills
Hayo mambo ya 2015 ni ya miaka hiyo na hizo speed zilishagharim maisha ya watu gar ilikua bus inaweza kuuwa had watu 20+ kwenye ajal moja sahv n lazma mwendo udhibitiwe na Kuna timetable huyo jamaa hakustahili muda huo awepo hapo kitendo Cha kuwepo hapo na kupata ajali kina tafsiri alikua mwendokasi achukuliwe hatuaIla wabongo kwa kukuza mambo bhana.... Kabla ya mwaka 2015 gari zilikua zinafika Kahama saa 11 jioni halafu leo unasema ati basi limekimbia speed sana.
Watu mnashindwa kutofautisha kuokoa muda na kukimbia sana. Maximum speed ya mabasi yanayoenda mbali ni speed 110 na hayazidi hapo, labda kuwe na shida ya king'amuzi.
Niishie hapo
Mweñye mabasi yake ni yule mgonga punda! Bima watajipendekeza kumfidia chap Kwa haraka hakai foleni huyo madelu!
Miundombinu hairuhusu mwendo kasi hiyo barabara ya bukoba kahama ina malori mengi kutoka huko Rwanda, burund & Uganda syo sehem nzur Sana ya kukimbia bila tahadhariNchi inayopambana na tozo kiasi hichi haitakiwi kwenda polepole tunachohitaji ni miundombinu mazingira wezeshi ya kuepusha ajali.
Endelea kuona aibu. Dereva wa uba unampa Basi, analikimbiza hana control unategemea nini?Wewe mkongwe unanitia aibu sana na kusema High speed Kills wakati mlikua mkifika Mbeya saa 7 au 8 mchana kutokea Dar kwa mabasi yenye mwendo kasi mkubwa.
Mazingira hayo ni pamoja na kuweka speed limit ndugu.Nchi inayopambana na tozo kiasi hichi haitakiwi kwenda polepole tunachohitaji ni miundombinu mazingira wezeshi ya kuepusha ajali.
Mkuu hiyo ya kucheza na King'amuzi nakubali.Jamaa wanachezea vts wanakimbia zaid ya 85+ kph na barabaran wanahonga trfc wasiwapige tochi ukiwafata nyuma bila ramani utachezea fain njia nzima huku wao wanapeta bila kusimamishwa hyo chuma imetoka dar inaelekea bkb kwa muda huu ni lazma imepita isaka kwenye saa 20.15 inamaana kaham ingeingia saa 21.00 ni speed kubwa sana aliyotembea nayo njia nzima hakustahili muda huu awe hapo ila kwakua ajali imetokea waangalie timetable yake vzur watagundua alikua mwendo kas haswa wanasababshia watu ulemavu na vifo kwasababu ya ligi barabaran