That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
Hiyo ndiyo formula mkuu, ua mmoja okoa 60Hahahaha yes unamkwepa tu! Kumgonga MTU kwa makusudi ni ngumu mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndiyo formula mkuu, ua mmoja okoa 60Hahahaha yes unamkwepa tu! Kumgonga MTU kwa makusudi ni ngumu mno
Mgonga punda mnamaanisha nn[emoji3]Ya mgonga Punda yanaitwa Esther, au na haya ni yake?
Frester wamezidi asee,kuna siku lilipata ajali barabara (maeneo) ya nyakato kutokea phantom ukiangalia hapakuwa na sababu ya kutokea ajali ile sema tuu ujuaji mwingi wa dereva alitaka aoneshe raia mbwembwe zake,
Huyu Madelu atakua kapata pesa wapi.
Mabasi ya ESTHER NI YAKE kumbe na Frester. Halafu ana petrol station ukiachilia mbali makampuni Kama EXTRA BET.
SISI ANATUTOZA TOZO
Nadhani jina la eneo lenyewe ni ajali tosha.....Kagongwa mbona hakuna sehemu korofi?? Au alikuwa anamkwepa boda??
umesoma ukaelewa? Sikuepo hio iliyopata ajali ni gari tofauti na hii! Nilichoandika hapo ilikua muendelezo wa post yangu nyingine. ThanksUlikuwepo kweny basi iliyo pata ajali?
Nimemuambia mie naona ananiandikia gazeti reeeeeefuHiyo ndiyo formula mkuu, ua mmoja okoa 60
...Ina maana sisi wenye 'vimkokoteni' vyetu Binafsi vya kuendea nyumbani Tanga, Lushoto, moshi, morogoro, Iringa na kwingineko karibu karibu kwa ajili ya Eid, Pasaka na Krismasi sasa ni roho Mkononi??[emoji45][emoji45][emoji45]Ile kwa kwel cku izi mabasi mengi yanakimbia hasa mida ya jion ,
Inabidi upande tu ndege,😃...Ina maana sisi wenye 'vimkokoteni' vyetu Binafsi vya kuendea nyumbani Tanga, Lushoto, moshi, morogoro, Iringa na kwingineko karibu karibu kwa ajili ya Eid, Pasaka na Krismasi sasa ni roho Mkononi??[emoji45][emoji45][emoji45]
Boda sio wa kukwepa kwa dereva wa gari. pia kwa kwatembea kwa miguu muache akukwepe yeyeKagongwa mbona hakuna sehemu korofi?? Au alikuwa anamkwepa boda??
MadeluMgonga punda mnamaanisha nn[emoji3]
Katika miji inayoongoza kwa umalaya Tanzania ukiacha kwenye migodi Kagongwa inachukua namba mbili baada ya Runzewe.Nadhani jina la eneo lenyewe ni ajali tosha.....
tukisema maneno huumba mtuelewe
Kweli mkuu kuanzia saa 12 jioni hii kipande ya dom-moro-dar basi za mwanza,kahama,shinyanga,bk ni km nyuki ukifika unashukuru MunguMkuu hiyo ya kucheza na King'amuzi nakubali.
Mimi huwa nina safari angalao 3 kwa mwezi, Dar-Mwanza.
Ikifika saa 12 jioni hapo ndio utaona ukichaa wa hao madereva hasa Kwa kipande cha Kutoka Dodoma kuja Dar unakuta chombo kinatembea 110+ nimeshuhudia Mara nyingi kwasababu huwa nakaa safu ya mbele.
Hii Hunters marcopolo ndio hatari zaidi ikifika mida hiyo
Hatari na nusuView attachment 1891423View attachment 1891424View attachment 1891425View attachment 1891427
Mkuu vipi serikali hawana mpango wa kuleta hivi vitu vipy LC300?
sHatari na nusu
Sabaya na Bashite wangekuwa wangwana wangeendeshwa na Hizi land cruiser mpya. Wamepotwza bahati.Hatari na nusu