samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Mweñye mabasi yake ni yule mgonga punda! Bima watajipendekeza kumfidia chap Kwa haraka hakai foleni huyo madelu!
Acha uongo....fanya tafiti...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mweñye mabasi yake ni yule mgonga punda! Bima watajipendekeza kumfidia chap Kwa haraka hakai foleni huyo madelu!
High speed kills
Naona wadhibiti mwendo kwa mabasi wamelegeza kamba.Nilipanda Allystars dar to Mwanza nilijuta mwanza imefika saa nne kasoro kwa speed ile nilipofika nilishukuru Mungu.
Kipindi hiki wanakimbia balaa sijui tochi wamesitisha nilishangaa Dom toka dar tumefika saa sita mchana mara ya mwisho kufika mida ile ilikuwa 2009.
Kimoyomoyo nikajisemea chinjachinja ya miaka ile imerudi daah.
Sasa hao wenye mamlaka husika wasipo leta hyo taarifa?Taarifa zinasema kuwa basi linalomílikiwa na Kampuni ya
Frester likitokea Dar kwenda Bukoba kimepata ajali maeneo ya Kagongwa Kahama
Taarifa zaidi kuhusu wahanga wa ajali hiyo kutolewa na mamlaka husika
View attachment 1891376
Taarifa zinasema kuwa basi linalomílikiwa na Kampuni ya
Frester likitokea Dar kwenda Bukoba kimepata ajali maeneo ya Kagongwa Kahama
Taarifa zaidi kuhusu wahanga wa ajali hiyo kutolewa na mamlaka husika
View attachment 1891376
Umemaliza yote hiyo kampuni inaongoza kwa fujo barabarani n speed...kutana nao njiani ndio utajua basi inapanda sekenke kma gari ndogoJamaa wanachezea vts wanakimbia zaid ya 85+ kph na barabaran wanahonga trfc wasiwapige tochi ukiwafata nyuma bila ramani utachezea fain njia nzima huku wao wanapeta bila kusimamishwa hyo chuma imetoka dar inaelekea bkb kwa muda huu ni lazma imepita isaka kwenye saa 20.15 inamaana kaham ingeingia saa 21.00 ni speed kubwa sana aliyotembea nayo njia nzima hakustahili muda huu awe hapo ila kwakua ajali imetokea waangalie timetable yake vzur watagundua alikua mwendo kas haswa wanasababshia watu ulemavu na vifo kwasababu ya ligi barabaran
Tajiri mchaga ndio anawapa kiburi hao madreva wake,inaonekana anatembeza mlungula kwa mapotiFrester wamezidi asee,kuna siku lilipata ajali barabara (maeneo) ya nyakato kutokea phantom ukiangalia hapakuwa na sababu ya kutokea ajali ile sema tuu ujuaji mwingi wa dereva alitaka aoneshe raia mbwembwe zake,
Usinikumbushe yule Giriki!,Wewe mkongwe unanitia aibu sana na kusema High speed Kills wakati mlikua mkifika Mbeya saa 7 au 8 mchana kutokea Dar kwa mabasi yenye mwendo kasi mkubwa.
Suluhisho la hizi ajali ni #KatibaMpya tuTaarifa zinasema kuwa basi linalomílikiwa na Kampuni ya
Frester likitokea Dar kwenda Bukoba kimepata ajali maeneo ya Kagongwa Kahama
Taarifa zaidi kuhusu wahanga wa ajali hiyo kutolewa na mamlaka husika
View attachment 1891376
Suluhisho la hizi ajali ni #KatibaMpya tu