bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Amelala nayo jumla kona za iyovi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idadi itayotolewa ndo hiyo hiyo, hawapunguzi maana si basi laoNi kawaida ya taarifa rasmi kwa na idadi pungufu na tofauti kulinganisha na eneo la tukio. Kwenye ndege ambapo data zote zipo walianza wanatofautiana idadi, Chalamila anataja yake na Precision wanataja yake sembuse kwenye basi ambalo wasafiri kibao humo hawajulikani majina halisi
PoleniMpaka sasa taarifa zilizopo zinasema basi la Golden Deer T 618 DMG kutoka Kyela kuelekea Dar es Salaam imepata ajali.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
View attachment 2711085
View attachment 2711088View attachment 2711089View attachment 2711090
Iyovi mkuuAjali imetokea Iyovu nazani picha inajieleza View attachment 2711084ajali n mbaya
Yule bonge anahangaika na majeraha sasa hiviShida ni ligi wa upumbavu wa abiria unakuta upo ndani ya gari unamwambia punguza mwendo abaria wengine wanakwambia ongeza huyu mshamba tu kama yule bonge dereva hana maisha marefu wacha wamjaze kichwa.
Mbona kuna gari ukipanda zipo vizuri mwendo kawaida mfano ABC, ngasere
Duuh kwani alisha pata ajali kumbeYule bonge anahangaika na majeraha sasa hivi
Na sidhani kama atarudi Tena kuendesha basi tena.
Leta pichaBasi la shirika la New force limepata ajali mbaya maeneo ya milima ya Iyovi.
litakuwa sumbawanga to dar or dar to sumbawangaLikiwa limetoka wapi kwenda wapi?
Nyama yenyewe ilikuwa robo kilo bina.Ongeza nyama nyama.
Mchina... inaelekea mmiliki wa hii kampuni ni mfuga majini hasa; sio kwa damu hizo yanazokunywa haya madubwana; dah! Kila mwezi ajali? Unacceptable.