Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Lete Ukweli Sasa Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete Ukweli Sasa Mkuu
Mbona huleti taarifa kamiliMpaka sasa taarifa zilizopo zinasema basi la Golden Deer T 618 DMG kutoka Kyela kuelekea Dar es Salaam imepata ajali.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
View attachment 2711085
View attachment 2711088View attachment 2711089View attachment 2711090
Hiyo chuma imegawanyika kipaa kipo tofauti chassis nayo imeenda upande wake.Inaonekana basi tupu
Hakuna cha ushirikina asilimia 85 ni mwendo wa kutoheshimu barabara hiyo 15 ni ubovu wa barabara ila madereva asilimia kubwa ndo wasababishiHao New Force mbona wanafululiza sana kwa ajali? kila wiki wao tu, ni bahati mbaya au mambo yao ya kishirikina wanatumia damu za wasio na hatia kujinufaisha kibiashara?
Hiyo kampuni nashauri ifungiwe kabisa, this is too much, hawajifunzi!.
Hakuna vifoDuuh kwa picha hiyo basi vifo ni vingi
Afadhali!Hakuna vifo
Hawa Madereva Wapuuzi wanataka kuturudisha enzi za akina GirikiShida ni ligi wa upumbavu wa abiria unakuta upo ndani ya gari unamwambia punguza mwendo abaria wengine wanakwambia ongeza huyu mshamba tu kama yule bonge dereva hana maisha marefu wacha wamjaze kichwa.
Mbona kuna gari ukipanda zipo vizuri mwendo kawaida mfano ABC, ngasere
Giriki hana mfano enzi za Tawaqal😂😂🔥Hawa Madereva Wapuuzi wanataka kuturudisha enzi za akina Giriki
Fear!Asilimia 99% madereva wa maroli wako fear sana una overtake unaomba chumba anakupisha safari inasonga wangeakua makauzu kama wa mabasi sijui ingekuaje!
Si umeelewa lakiniFear!
Kwani kupanda bus la new force ni lazima?Mmiliki wa hii kampuni siku akifa watanzania watafanya sherehe:
Serikali imemshindwa sasa tunamshitski kwa mola.