Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji23][emoji23][emoji23]usahaulifu au?...Ama...?Sasa nimepata majibu, I hope hiyo uliyoishika mkubwa wake pia huwa unamtumia na ndiyo chanzo cha haya yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]usahaulifu au?...Ama...?Sasa nimepata majibu, I hope hiyo uliyoishika mkubwa wake pia huwa unamtumia na ndiyo chanzo cha haya yote.
Vituko vyake na maamuzi yake ya kimaisha😀😀[emoji23][emoji23][emoji23]usahaulifu au?...Ama...?
Natamani siku nikutane na wewe mkuu. Maana niko hapahapa mkolani
Namaanisha MwanzaDar.
Ahsante, DonKaribu
Mbona kama marcopollo paradiso hiyo au macho yanguBASI LA SATCO NI WAAMINIFU SANA.
Jana kipindi natoka Mwanza kuja Dom kuelekea Dar, tulipofika Singinda stand nilishuka Mara moja lakini niliangusha VITAMBULISHO vyangu na Vijisenti. Baada ya dakika 5 hivi nikaona simu inaingia kupokea naambiwa nimeangusha VITAMBULISHO na Pesa, kusogea kwenye gari wakanikabidhi Nyaraka zangu na Pesa Kama zilivyo. Kazi nzuri aliyoifanya Dreva mwenyewe ambaye ndiye aliyeniokoa.....Ubarikiwe Sana Dreva wa Basi la SATCO, ni Mabasi mangapi wanauaminifu Kama huu@DODOMA-DON NALIMISON.
View attachment 1537723
Ahsante, Don
Sasa mkuu unategemea source gani ya income itakayokuwezesha kuendana na kasi ya hapa Daslama?
Nimeuliza hivi nikiwa nafahamu hujishughulishi tena na kazi ya ualimu ambayo ilikua primary source yako ya income.
Don hana pakufikia please mpatie hifadhi hapo nyumbani, yeye hana shida hata hapo sebuleni atalala.Don Kama don..karibu dar
Hao wengine siwafuatiliiKwani hao wengine wanaishije?
Kuna vyumba jangwani mkuu bei raisi nikuunganishe na dalali?Vyumba vipo vingi tu Mkuu.
🤣Sasa nimepata majibu, I hope hiyo uliyoishika mkubwa wake pia huwa unamtumia na ndiyo chanzo cha haya yote.
Alikosa sh 300 ya choo mjini shinyanga, nafikiri ilikua sh 200 au pungufu.Ilikuwa shilingi ngapi mkuu
Ndio maana nikamuuliza[emoji2][emoji2]Alikosa sh 300 ya choo mjini shinyanga, nafikiri ilikua sh 200 au pungufu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana nikamuuliza[emoji2][emoji2]
Itakua kapotea huyoVipi ulifika salama daslam? Naona upo kimya sana kiongozi!