Wanapumuliana matakoni kwa distance ndogo sana kiasi kwamba wa mbele akikanyaga breki ya ghafla tu zote tatu zinaumanaKuna siku nilipishana nazo mida ya saa 5 asubuhi kuelekea saa sita kule Kilolo zikiwa zimepita Daraja la Ruaha, DPK alikuwa anaongoza anafukuzwa na Sauli 2 kama mbwa koko
Ila dpk anatutoa jasho mdau tukubali tu...Insurance itawapa jingine DXT😂, tutazindua, yaani mie na miguu mirefu ya bagoshaa, ni Sauli, Happy Nation.
Everyday is Saturday................................😎
Kamtia nuksi tuT 418 DWF. Simbachawene unamkumbuka dereva wako?
Na hilo basi juzi hapa simba chawene alilikamata kwa kosa la speed barabarani kumbe hakuwaonea kama walivyokuwa wanalalamikaNimepita sasa hivi eneo hilo nimeona Sauli imegongana na Lori, Sauli imesukumizwa mtaroni hadi ikapanda kingo ya mtaro.
Sijajua kama kuna majeruhi na idadi yake.
Inaonekana walishindwa kupishana Sauli akaamua kupita upande wa kushoto mwa Lori likiwa linaelekea Mashariki hapo ndipo zikagongana(ila sio uso kwa uso), Sauli imekwaruzwa sana upande wa kushoto, vioo vyote vya upande huo vimeharibika, kuna uwezekano abiria waliokuwa wamekaa upande huo kujeruhiwa
=====
Basi la Sauli limepata ajali katika harakati za kukwepa kugongana uso kwa uso na Lori
Kibaha.
Watu wanne wamejeruhiwa na wengine 40 kunusurika baada ya ajali ya basi ya kampuni ya Sauli eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani .
Ajali hiyo imetokea leo Jumatatu Agosti 23, 2021 saa 6:45 asubuhi baada ya dereva wa basi hilo ambaye jina lake halikupatikana mapema kulielekeza pembezoni za barabara ili kukwepa kugongana uso kwa uso wa uso na lori lillokuwa likitokea mbele yake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa amesema;
"Dereva alikuwa anaovateki gari lililokuwa mbele ya macho yake na baada ya kulitazama aliona lori linakuja mbele yake akalielekeza pembezoni mwa barabara basi hilo na likachegama," alisema.
Alisema kuwa majeruhi hao waliwahishwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani Tumbi ambapo walipatiwa matibabu na kisha kuruhusiwa.
View attachment 1904293
Hakuna aliyekuwa, watu 4 wamepata michubuko tuu. Jamaa alikuwa ana overtake gari zaidi ya tatu, ghafla akakutana uso kwa uso na gari ingine kubwa mbele, akaamua kuchochora porini hukooo, ndiyo salama yake na abiria. Dereva kafungiwa leseni miezi sita hivyo natumai zile fedha za betting ya kuwahi kuingia stend Mbeya amezitunza ili sasa zimsaidie kwa kipindi hiki cha miezi sita atakachokuwa kijiweni.Hakuna mtu wa kutupa ripoti zaidi
Ebu fanya kuitupia hapa na mimi nijionee mkuu
Itupie mkuuIpo video inayoonesha ajali ilivyotokea, dereva wa basi ana makosa sana..
Wale mnaotetea sauli endeleeni kutetea
Alihama kabisa mkuu apo akaenda site nyingne nadhani ipo wazi yeye ndo alikosea.Wale mnaotetea sauli endeleeni kutetea
Golden Deer New Force, amepata SANA ajali, mpaka ku stabilize na kupata madereva makini.Ila dpk anatutoa jasho mdau tukubali tu...
Huyo dereva ni bonge la boya.....Nimepita sasa hivi eneo hilo nimeona Sauli imegongana na Lori, Sauli imesukumizwa mtaroni hadi ikapanda kingo ya mtaro.
Sijajua kama kuna majeruhi na idadi yake.
Inaonekana walishindwa kupishana Sauli akaamua kupita upande wa kushoto mwa Lori likiwa linaelekea Mashariki hapo ndipo zikagongana(ila sio uso kwa uso), Sauli imekwaruzwa sana upande wa kushoto, vioo vyote vya upande huo vimeharibika, kuna uwezekano abiria waliokuwa wamekaa upande huo kujeruhiwa
=====
Basi la Sauli limepata ajali katika harakati za kukwepa kugongana uso kwa uso na Lori
Kibaha.
Watu wanne wamejeruhiwa na wengine 40 kunusurika baada ya ajali ya basi ya kampuni ya Sauli eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani .
Ajali hiyo imetokea leo Jumatatu Agosti 23, 2021 saa 6:45 asubuhi baada ya dereva wa basi hilo ambaye jina lake halikupatikana mapema kulielekeza pembezoni za barabara ili kukwepa kugongana uso kwa uso wa uso na lori lillokuwa likitokea mbele yake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa amesema;
"Dereva alikuwa anaovateki gari lililokuwa mbele ya macho yake na baada ya kulitazama aliona lori linakuja mbele yake akalielekeza pembezoni mwa barabara basi hilo na likachegama," alisema.
Alisema kuwa majeruhi hao waliwahishwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani Tumbi ambapo walipatiwa matibabu na kisha kuruhusiwa.
View attachment 1904293
Nimeiona video, tena aliyerekodi ni mtu aliyekuwa kwenye hilo Lori. Alijuaje ilihali Sauli imetokea ghafla hadi akaanza kurekodi bado mapema maana Dereva wa Lori kapishana na magari mengi akiwa anarekodi kabla hajakwaruzana na Sauli.Ipo video inayoonesha ajali ilivyotokea, dereva wa basi ana makosa sana..
Watu wanamlaumu tu dereva wa sauli ile foleni kuanzia ubungo mpaka kibaha ukifanya masihara masaa matatu yatakukuta hapohapo halafu una safari ndefu ya kwenda tunduma......wengi tu wanaovateki ila leo balaa limemkuta yeyeNimeiona video, tena aliyerekodi ni mtu aliyekuwa kwenye hilo Lori. Alijuaje ilihali Sauli imetokea ghafla hadi akaanza kurekodi bado mapema maana Dereva wa Lori kapishana na magari mengi akiwa anarekodi kabla hajakwaruzana na Sauli.
Pia Dereva wa Lori alikuwa anaonesha jambo kwa mkono jambo ambalo aligundua kitu lakini hakuchukua maamuzi ya kutoa ishara ya hatari na kusimama kama ingewezekana badala yake aliendelea ilihali kashagundua hatari.
Dereva wa Lori angepunguza mwendo, Sauli angejirusha huko mtaroni bila kukwaruzana na Lori.
Anyway, Dereva wa Sauli alifanya kosa, pia dereva wa Lori naye kafanya makosa baada ya kugundua hatar iliyo mbele yake kwani aliishia kurekodi na kuendelea mbele
Ndenjela Jet kwangu ndio basi Bora ilikuwa nikipanda Full burudani. Mzee Mwanji sijui Nini kilimpata chombo za fundi hazikudumu barabarani.Kuna Kampuni Moja Dar Es Salaam ~Mbeya Ulikuwa Inaitwa Ndenjela Kama Sijakosea Jina Madereva Wake Walikuwa Wakina Dada Siioni Kabisa!!
Hii Sauli Oops!! Njiani Kama Karatasi Vile