Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japokuwa si mteja wa haya mabasi,but all i knw-waendeshaji wa haya mabasi ya sauli hawana weledi kabisa,wako very rough barabarani.They just got what they deserve.Nimepita sasa hivi eneo hilo nimeona Sauli imegongana na Lori, Sauli imesukumizwa mtaroni hadi ikapanda kingo ya mtaro.
Sijajua kama kuna majeruhi na idadi yake.
Inaonekana walishindwa kupishana Sauli akaamua kupita upande wa kushoto mwa Lori likiwa linaelekea Mashariki hapo ndipo zikagongana(ila sio uso kwa uso), Sauli imekwaruzwa sana upande wa kushoto, vioo vyote vya upande huo vimeharibika, kuna uwezekano abiria waliokuwa wamekaa upande huo kujeruhiwa
=====
Basi la Sauli limepata ajali katika harakati za kukwepa kugongana uso kwa uso na Lori
View attachment 1904293
Hawa wa malori na wenyewe ni viazi vile vile,Malori kila kukicha yanatunguliwa mitaroni hapo mbele ya riverside na pia ubungo,Kiufupi Tanzania madereva ni wachache mnoo.Madereva wa Tanzania wanapenda ma-speed lakin competence zero.Dangote na sumry wana-experience na hz habari.In short,kama huna hela ya kulipia comprehensive,bora uachane na hz biashara.Mzee wangu aliletewa pooling nzima (SCANIA) kwenye FUSO.Hakuna madereva wazuri kama hawa wa magari ya mizigo ila hawa wa mabasi ya abiria ah utumbo sana..
Sio Giriki peke yake, hata Babu Ally wa Matema Beach aliuingiza ule mgoma wenye injini nyuma saa sabaKulikuwa na jamaa anaitwa Giriki, alifika mbeya saa 7!
Dwf iyo mdau hata miezi sita haina toka waichukue pale saab scaniaKama ni benz nimeingia nalo jana Shekilango mapema SANA,
Unajua SAULI siyo speed tu, ni COMFORTABILITY, viti vina nafasi miguu haibanwi...kama Happy Nation!
SAULI nitalipanda labda abadili aina ya magari, mchina.
Everyday is Saturday................................😎
Daaah mnyama mkali 😭😭View attachment 1904363
Juzi tu hii gari ilikamatwa na Simbachawene. Leo imechochora View attachment 1904365
Hajui huyo mdau yule dpk anafukuzwa na sauli mbiliAnakimbizana na Sauli nyingine maana basi za Sauli haziachani.
Hii imekwama nyingine imesepa
Ila Giriki aliondoka na pingu pale stand, babu Ally ilikuwaje?Sio Giriki peke yake, hata Babu Ally wa Matema Beach aliuingiza ule mgoma wenye injini nyuma saa saba
Aliishia kwenye kituo cha polisi pale standIla Giriki aliondoka na pingu pale stand, babu Ally ilikuwaje?
Aliishia kwenye kituo cha polisi pale standIla Giriki aliondoka na pingu pale stand, babu Ally ilikuwaje?
Mimi jukumu langu ni kuteua na kusafiriWatu wameacha kusimamia vitu vya msingi wapo busy na siasa na majibu ya Gwajima Nchi hii...