Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Scania basi imara, ingelala mchina hapo takwimu zingekuwa nyingineSauli mnyama
Madereva wake wapo makini sna sijui leo imetokea nini
Iyo DWF ina madavo wazuri sna leo alikua Njau + Tito
Ila jambo la kumshukuru Mungu hakuna madhara makubwa kwa binadamu
Duh! Basi anyang'anywe leseni! Hakuna namna.T 418 DWF. Simbachawene unamkumbuka dereva wako?
Ukiuliza alikuwa anawahi wapi hakuna jibuKibaha.
Watu wanne wamejeruhiwa na wengine 40 kunusurika baada ya ajali ya basi ya kampuni ya Sauli eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani .
Ajali hiyo imetokea leo Jumatatu Agosti 23, 2021 saa 6:45 asubuhi baada ya dereva wa basi hilo ambaye jina lake halikupatikana mapema kulielekeza pembezoni za barabara ili kukwepa kugongana uso kwa uso wa uso na lori lillokuwa likitokea mbele yake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa amesema;
" Dereva alikuwa anaovateki gari lililokuwa mbele ya macho yake na baada ya kulitazama aliona lori linakuja mbele yake akalielekeza pembezoni mwa barabara basi hilo na likachegama," alisema.
Alisema kuwa majeruhi hao waliwahishwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani Tumbi ambapo walipatiwa matibabu na kisha kuruhusiwa.
Duh jamaa hajamaliza hata week tatu toka akamatwe na waziri. 😂😂😂T 418 DWF. Simbachawene unamkumbuka dereva wako?
Insurance itawapa jingine DXT😂, tutazindua, yaani mie na miguu mirefu ya bagoshaa, ni Sauli, Happy Nation.Dwf iyo mdau hata miezi sita haina toka waichukue pale saab scania
Mzungu katengeneza gari na linamuua sembuse hao washamba wenzeni wa sauli!?? Badilikini nyie acheni ushamba HIGH SPEED KILLS!!!!Sauli mnyama
Madereva wake wapo makini sna sijui leo imetokea nini
Iyo DWF ina madavo wazuri sna leo alikua Njau + Tito
Ila jambo la kumshukuru Mungu hakuna madhara makubwa kwa binadamu
I saw, yaani wewe unampongeza dereva ambaye alikuwa ana-overtake isivyo stahili na kutaka kugongana uso kwa uso na lori mbele yake? Wewe sio dereva.Dereva ameonyesha uwezo mkubwa cha muhimu madhara sio makubwa bravo Tito
Yaani aina ya basi, na huo mwendo ukiwa ndani husikii kitu. Viti kama ndegeni, wahudumu wastaraabu, hatupandi tu kwa mwendo yapo mengine. Chaji nachomeka mpaka laptop kwenye socket kama nyumbani au USB, safari nzima hakuna karaha.Dah! Hawa wapuuzi wanatembea si mchezo!! Cha kushangaza abiria wanapenda kweli kupanda mabasi yao!!
Mbona siku hizi unacomment kwa ustaarabu sana mkuu! Mungu akuongoze hivyo hivyo.Mungu mkubwa hakuna yeyote aliyepoteza maisha. Pia ni furaha majeruhi waliruhusiwa waende. Ni jambo la furaha na faraja.
Ovyoooo,, yani mijitu mingine zilongwa mbali zitendwa mbali tumejisemea wazaromoYaani aina ya basi, na huo mwendo ukiwa ndani husikii kitu. Viti kama ndegeni, wahudumu wastaraabu, hatupandi tu kwa mwendo yapo mengine. Chaji nachomeka mpaka laptop kwenye socket kama nyumbani au USB, safari nzima hakuna karaha.
Everyday is Saturday............................... 😎
daaah nimeiona mwanagu, aisee, yaani moyo umepiga puuIpo video inayoonesha ajali ilivyotokea, dereva wa basi ana makosa sana..