Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa picha mkuu, mimi sikuweza kupiga picha maana nilipita harakaNi kweliView attachment 1904262View attachment 1904264View attachment 1904265
Sent from my M2006C3LI using JamiiForums mobile app
Hiii inaonyesha kabisa sababu ni mwendokasi wa dereva wa busNi kweliView attachment 1904262View attachment 1904264View attachment 1904265
Sent from my M2006C3LI using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu ila nami nimetumiwa tuu na mtu.Ahsante kwa picha mkuu, mimi sikuweza kupiga picha maana nilipita haraka
Wa tag @LATRA Sumatra wapo na jukumu la usafiri majini kwa siku hizi. Latra ndio usafiri wa nchi kavuNarudia tena serikali idhibiti hawa madereva wa SAULI [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Ushauri wangu kwa SUMATRA kuhusu magari ya Sauli
Wakuu habari, Ningependa kuishauri SUMATRA wawaite na kuwashauri wamiliki/madereva wa mabasi ya SAULI kuwa kusifiwa barabarani kwa ubingwa wao wa kukimbia speed kubwa na kuovertake bila mpangilio siku moja kutagharimu maisha ya abiria wasio na hatia. Ushauri wangu ni huo kwenu SUMATRA msije...www.jamiiforums.com
Ushauri wangu kwa SUMATRA kuhusu magari ya Sauli
Kama ni benz nimeingia nalo jana Shekilango mapema SANA,Magari ya Mbeya City hayo. Mnyama Mkali 🏍️🏍️🏍️.
High speed kills.
Bado Golden 🦌 Deer, a.k.a kamnyama .
Narudia tena serikali idhibiti hawa madereva wa SAULI [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Ushauri wangu kwa SUMATRA kuhusu magari ya Sauli
Wakuu habari, Ningependa kuishauri SUMATRA wawaite na kuwashauri wamiliki/madereva wa mabasi ya SAULI kuwa kusifiwa barabarani kwa ubingwa wao wa kukimbia speed kubwa na kuovertake bila mpangilio siku moja kutagharimu maisha ya abiria wasio na hatia. Ushauri wangu ni huo kwenu SUMATRA msije...www.jamiiforums.com
Ushauri wangu kwa SUMATRA kuhusu magari ya Sauli
Goma likivuma, likavuma likavuma.... mwishowe ndio huoDuh tuombe abiria wawe salama. Another blue Monday!
Kulikuwa na jamaa anaitwa Giriki, alifika mbeya saa 7!Mabasi siku hizi hayafiki mapema, zamani ndinga zilikuwa zinatoboa Mbeya City kuanzia saa nane, Scandnavia na Embakassy ndiyo yalikuwa mwendo wa Kobe, yanaingia saa kumi na moja jioni