Mkuu nzega tabora sasa ni lami tu hivyo wangekuwa wanazunguka tuMbona NBS hatekwi?,I remember 2013,wakata Naenda Tabora yani hiyo Barabara ya Itigi ni Full Mapori yani tulipita salama mpaka Tabora Mjini but inatisha mana iwe mchana ucku pako vibaya bora ya Nzega ile lol
hiyo ndo kazi iliyopaswa kufanywa na jeshi la polis...
Ni kweli lkn kwanini kuepuka huo upweke wasipitie ya nzega?ilo poli toka itigi mpka kigwa hakuna mtandao wowote unaopatikana na mnatembea kma masaa 3 au 4 hamuoni kitu zaidi ya miti tu but kwa sasa kuna vipande vina rami
Hivi chaso ni hatariiiiii?hao majambawazi sio tishio sana kama CHASO
wangekuja kama wangeambiwa kuna wapinzani wanafanya mkutano.intelijensia vipi huko? au geshi ra porish halipo?
Siku hiz nikiendaga Tabora napanda za Kahama nishuke Igunga nalala asubuh naamsha Tabora town kuna NBS za Tabora Town to Igunga pale Igunga unapata Kuku wa Kienyeji saafiHao watekaji wanashukiwa kuwa ni kutoka huko
Watu waliporwa cm isipokuwa mama mmoja ambaye cm aliiweka kwenye Maziwa. Walipofika Tabora ndiyo wakatoa taarifa ndugu na jamaa. Inasemekana gari lilipata hitilafu Manyoni, baada ya kutengeneza likatengamaa , dereva aliamua kuendelea na safari, ndipo walikutwa na zahama hiyoMkuu pamoja na kuwa ni tetesi lkn sidhani kama kutakuwa na ukweli maana hadi sasa tv station zote hakuna iliyo tangaza hiyo habari
hahhahahahahahahaha mkuu utazngirwaaaNaombeni msaada nasikia CHASO wako nje ya nyumba yangu wanafanya kikao.
Hivi igunga tabora kuna rami?Siku hiz nikiendaga Tabora napanda za Kahama nishuke Igunga nalala asubuh naamsha Tabora town kuna NBS za Tabora Town to Igunga pale Igunga unapata Kuku wa Kienyeji saafi
kwi kwi kwi kwi kwiTeeeeeeeeh teeeeeeeeh, hapo wanachomoka kama jet!
Mkuu igunga kwa mambo ya kutafuna kuku ndiyo kwakeSiku hiz nikiendaga Tabora napanda za Kahama nishuke Igunga nalala asubuh naamsha Tabora town kuna NBS za Tabora Town to Igunga pale Igunga unapata Kuku wa Kienyeji saafi
Hapana ni Rough roadHivi igunga tabora kuna rami?
hahahahahahahahahaVipi kuhusu sherehe za chaso?
Huyo dereva alitumia sana mazoea, hiyo njia haifai mkuuWatu waliporwa cm isipokuwa mama mmoja ambaye cm aliiweka kwenye Maziwa. Walipofika Tabora ndiyo wakatoa taarifa ndugu na jamaa. Inasemekana gari lilipata hitilafu Manyoni, baada ya kutengeneza likatengamaa , dereva aliamua kuendelea na safari, ndipo walikutwa na zahama hiyo
Halafu Jumamos kule Mnadani Unakula nyama choma mpaka useme Basi Jaman Kutembea Mikoani ni Utalii Tosha na kujua mengiMkuu igunga kwa mambo ya kutafuna kuku ndiyo kwake
Lkn nafikiri ni shoti kati sanaHapana ni Rough road
Frequency za itelijensia zinasa tu kwenye .......? !!intelijensia vipi huko? au geshi ra porish halipo?
Mkuu tunavyo chati hapa najiona nipo igunga natafuna kukuHalafu Jumamos kule Mnadani Unakula nyama choma mpaka useme Basi Jaman Kutembea Mikoani ni Utalii Tosha na kujua mengi