Nafikiri ni igunga kwakuwa mimi hiyo njia mimi sijaitumia ila igunga nimepiga sana mapande ya kuku wa kienyejiWataalamu wa IT toka Rwanda kuja kuivua tz gagulo, Usalama wa wadanganyika upo mikononi mwa tuts tz ni shamba la bibi
Kwani ikoje mkuu inatengenezwa kiwango cha changarawe au ndio michanga tu?[emoji2] [emoji2] ila njia nzuri ni ya Igunga
Asante mkuu lakini kumbe hii ni polisi ya Tanzania
Polisi ya Tanzania haijawahi kuwa na sirias na mambo ya usalama Bali inajishughulisha na siasa
Sasa utawaamin?
Jeshi la polisi linadili na ukawa tu matukio kama hayo wanayaogopaintelijensia vipi huko? au geshi ra porish halipo?
Ile ya Igunga kwa sasa ni lami mpaka TaboraKwani ikoje mkuu inatengenezwa kiwango cha changarawe au ndio michanga tu?
Poa mkubwaIle ya Igunga kwa sasa ni lami mpaka Tabora
Nani mkongwe wa hio njia.??Mbaya sana kama ujambazi huo umerejea.Duu Tabora One anapigwa vita sana njia hiyo ya tabora na mmiliki mkongwe wa njia hiyo,pia mmiliki wa tabora one alifariki miezi michache iliyopita basi ni balaa tupu.Waliobaki wasikate tamaa
Siamini ka tabora moja napitia njia ya itigi kwa sababu ana gari luxury mbili na huwa anapitia nzega ilikuweje apitie huko na wakati hata tlb yake inaonesha anatakiwa kupitia singida mjini? nina mashaka na hii taarifa labda unambie ni bus la kampuni nyingine?Watu waliporwa cm isipokuwa mama mmoja ambaye cm aliiweka kwenye Maziwa. Walipofika Tabora ndiyo wakatoa taarifa ndugu na jamaa. Inasemekana gari lilipata hitilafu Manyoni, baada ya kutengeneza likatengamaa , dereva aliamua kuendelea na safari, ndipo walikutwa na zahama hiyo
intelijensia vipi huko? au geshi ra porish halipo?
Bwashe, una maonooo.....unazungumzia PT au FBI????Issue ya kuteka magari ya abiria ni issue ndogo sana. Mabasi yote yafungwe GPS na police ndiyo wawe wanaziratibu na ikitokea usiku wakaona gari imesimama basi wapigie simu dereva au conductor. Na kukiwa na shaka basi polisi walio karibu na bus wahakikishe wanalifuatilia. Simple as that. Mabasi yakiwa tracked kwa gps yatakuwa salama sana hata ku overspeed watakuwa hawana tena.
Mkuu tabora moja anatumia hiyo njia ya itigi kwa macho yangu nimeshuhudia wala hutakiwi kuweka ubishi hapoSiamini ka tabora moja napitia njia ya itigi kwa sababu ana gari luxury mbili na huwa anapitia nzega ilikuweje apitie huko na wakati hata tlb yake inaonesha anatakiwa kupitia singida mjini? nina mashaka na hii taarifa labda unambie ni bus la kampuni nyingine?
Kwenye mahafali?Lipo kupolish wanaokutana
Ila ukipita pale njia panda ya manyoni, unaona lami imejengwa au bado haijafika taboraMimi sijapita ila kuna member hapa jamvini kasema haina lami,
Mkuu ni vipande vipande haijafika hadi tabora,ndiyo maana hao majambazi wanatumia udhaifu huoIla ukipita pale njia panda ya manyoni, unaona lami imejengwa au bado haijafika tabora
Kwa hilo nawapongeza sana kenya wamewezaInatia hasira sana. Halafu ni kama hawaoni kuna athari za kiuchumi pia. Kwa mfano hili zuio la safari za usiku. Mtu anayetoka mkoani kuja dar..analazimika kutenga siku moja ya kusafiri kuja dar...siku nyingine ya kufanya shughuli zake dar..na siku nyingine ya kurudi kwake. Hapo na siku 3 ametumia...na hoteli kalipa siku 2. Safari za usiku zingeruhusiwa...angesafiri usiku...akafika dar asubuhi...akafanya shughuli zake...akageuza tena usiku. Hiyo ni siku moja tu katumia na hana haja ya kulipia hoteli. Sasa eti majambazi ndio yanatuingiza gharama hizi za ziada..na jeshi la polisi tunalo. Wenzetu afrika mashariki na kusini mwa africa wao usiku wanasafiri na mambo ya ujambazi ni mara chache sana kusikia. Yani inasikitisha mno.
Na kumtafuta Ngwajima.Polisi wapo wanakimbizana na Tundu lisu.
Kilo mita ni sawa labda wingi wa abiria ila hio njia ya itigi manyoni tabora inatisha nilitembea masaa ma 4 network ya simu hamnaKaka nzega unazunguka sana but iyo njia ya itigi ndio shortcut na unawahi sana kufika tabora
Umenena kweli akiwa na bahati atapishina na vifutu na black mamba basi (nyoka), dawa chimba Itigi au Kigwa labda dawa ya kaharibu hewa kwenye gari ndio unaweza kuchimba hapo tena ikibidiilo poli toka itigi mpka kigwa hakuna mtandao wowote unaopatikana na mnatembea kma masaa 3 au 4 hamuoni kitu zaidi ya miti tu but kwa sasa kuna vipande vina rami