Tetesi: Basi la Tabora One latekwa kwenye pori kati ya Itigi na Tabora usiku wa jana

Tetesi: Basi la Tabora One latekwa kwenye pori kati ya Itigi na Tabora usiku wa jana

Asante mkuu lakini kumbe hii ni polisi ya Tanzania
Polisi ya Tanzania haijawahi kuwa na sirias na mambo ya usalama Bali inajishughulisha na siasa

Sasa utawaamin?

Inatia hasira sana. Halafu ni kama hawaoni kuna athari za kiuchumi pia. Kwa mfano hili zuio la safari za usiku. Mtu anayetoka mkoani kuja dar..analazimika kutenga siku moja ya kusafiri kuja dar...siku nyingine ya kufanya shughuli zake dar..na siku nyingine ya kurudi kwake. Hapo na siku 3 ametumia...na hoteli kalipa siku 2. Safari za usiku zingeruhusiwa...angesafiri usiku...akafika dar asubuhi...akafanya shughuli zake...akageuza tena usiku. Hiyo ni siku moja tu katumia na hana haja ya kulipia hoteli. Sasa eti majambazi ndio yanatuingiza gharama hizi za ziada..na jeshi la polisi tunalo. Wenzetu afrika mashariki na kusini mwa africa wao usiku wanasafiri na mambo ya ujambazi ni mara chache sana kusikia. Yani inasikitisha mno.
 
Mbaya sana kama ujambazi huo umerejea.Duu Tabora One anapigwa vita sana njia hiyo ya tabora na mmiliki mkongwe wa njia hiyo,pia mmiliki wa tabora one alifariki miezi michache iliyopita basi ni balaa tupu.Waliobaki wasikate tamaa
Nani mkongwe wa hio njia.??
Na sababu za kifo ni nini.??
Alikua muarabu.?
 
Watu waliporwa cm isipokuwa mama mmoja ambaye cm aliiweka kwenye Maziwa. Walipofika Tabora ndiyo wakatoa taarifa ndugu na jamaa. Inasemekana gari lilipata hitilafu Manyoni, baada ya kutengeneza likatengamaa , dereva aliamua kuendelea na safari, ndipo walikutwa na zahama hiyo
Siamini ka tabora moja napitia njia ya itigi kwa sababu ana gari luxury mbili na huwa anapitia nzega ilikuweje apitie huko na wakati hata tlb yake inaonesha anatakiwa kupitia singida mjini? nina mashaka na hii taarifa labda unambie ni bus la kampuni nyingine?
 
Issue ya kuteka magari ya abiria ni issue ndogo sana. Mabasi yote yafungwe GPS na police ndiyo wawe wanaziratibu na ikitokea usiku wakaona gari imesimama basi wapigie simu dereva au conductor. Na kukiwa na shaka basi polisi walio karibu na bus wahakikishe wanalifuatilia. Simple as that. Mabasi yakiwa tracked kwa gps yatakuwa salama sana hata ku overspeed watakuwa hawana tena.
Bwashe, una maonooo.....unazungumzia PT au FBI????
 
Siamini ka tabora moja napitia njia ya itigi kwa sababu ana gari luxury mbili na huwa anapitia nzega ilikuweje apitie huko na wakati hata tlb yake inaonesha anatakiwa kupitia singida mjini? nina mashaka na hii taarifa labda unambie ni bus la kampuni nyingine?
Mkuu tabora moja anatumia hiyo njia ya itigi kwa macho yangu nimeshuhudia wala hutakiwi kuweka ubishi hapo
 
Ila ukipita pale njia panda ya manyoni, unaona lami imejengwa au bado haijafika tabora
Mkuu ni vipande vipande haijafika hadi tabora,ndiyo maana hao majambazi wanatumia udhaifu huo
 
Inatia hasira sana. Halafu ni kama hawaoni kuna athari za kiuchumi pia. Kwa mfano hili zuio la safari za usiku. Mtu anayetoka mkoani kuja dar..analazimika kutenga siku moja ya kusafiri kuja dar...siku nyingine ya kufanya shughuli zake dar..na siku nyingine ya kurudi kwake. Hapo na siku 3 ametumia...na hoteli kalipa siku 2. Safari za usiku zingeruhusiwa...angesafiri usiku...akafika dar asubuhi...akafanya shughuli zake...akageuza tena usiku. Hiyo ni siku moja tu katumia na hana haja ya kulipia hoteli. Sasa eti majambazi ndio yanatuingiza gharama hizi za ziada..na jeshi la polisi tunalo. Wenzetu afrika mashariki na kusini mwa africa wao usiku wanasafiri na mambo ya ujambazi ni mara chache sana kusikia. Yani inasikitisha mno.
Kwa hilo nawapongeza sana kenya wameweza
 
Kwa Tanzania yetu hakuna njia iliyo salama 100%, ukisafiri usiku hatari ni kubwa au tuseme usalama ni sifuri, ukisafiri kupiti msituni ni hatari hata kama ni mchana
 
ilo poli toka itigi mpka kigwa hakuna mtandao wowote unaopatikana na mnatembea kma masaa 3 au 4 hamuoni kitu zaidi ya miti tu but kwa sasa kuna vipande vina rami
Umenena kweli akiwa na bahati atapishina na vifutu na black mamba basi (nyoka), dawa chimba Itigi au Kigwa labda dawa ya kaharibu hewa kwenye gari ndio unaweza kuchimba hapo tena ikibidi
 
Back
Top Bottom