Tetesi: Basi la timu ya Simba linashikiliwa baada ya kushindwa kulipa mkopo wa basi hilo

Tetesi: Basi la timu ya Simba linashikiliwa baada ya kushindwa kulipa mkopo wa basi hilo

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]

Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]

Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Uchumi wa nchi na Uwezo wa mtu kubwabwaja nadhani ni vitu viwili tofauti.

Angalia uwezo wa wanasiasa kubwabwaja kisha fananisha na uchumi wa nchi, majibu unayo!

Nadhani Simba kuwa wa kimataifa sio kwasababu ya uwezo wa fedha za kifisadi kama timu nyingine, ni kabumbu lao uwanjani.

Upande huo tuwasifie tu watani wako.
 
Wakuu Taarifa iliyopo Ni Kwamba Watani Kwa Sasa Hawana Bus Baada Ya Bus Lao Kukamatwa na Dalali aliyeagizwa Kampuni iliyowauzia bus
.
Bus limekamatwa Baada ya Simba kushindwa kulipa Deni Kwa Kampubi iliyowauzia [emoji28][emoji28]
.
Kwa Sasa Team ya Simba Inatumia Bus la Kamwana Kwenye Safari Zao na Hata Juzi Wameenda Singida na Hilo Bus la Kamwana.
.
Eti Team Kubwa Na Team ya Kimataifa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]
.
Unajitapa Uko Kwenye rank #14 kwa vilabu Bora Afrika Huku unashindwa Kulipa Mkopo Wa Bus Lako, Mtawakumbuka SportPesa[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
View attachment 2413078
Kwani b.26 za m.bet zimeshindwa kulipia mkopo
 
Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]

Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]

Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tukisema kwamba Mwamedi ni tajiri wa mchongo muwe mnatuelewa jamani.
Hivi ile bilioni 20 ataiweka lini kwenye account ya Simba?
 
Embu kwanza simba na yanga walipewa mabus na TBL, yale yako wapi pua kuna bus wemepwa na mdhamamini africaceries sijui ndivyo inavyoandikwa wewe unasemea bus lipi?
 
Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]

Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]

Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa Taarifa Yako:-
1. Simba SC ilienda Singida na bus Kamwana kwa kua toka Dar mpaka Dom ilipanda mwewe.. Toka Dom to Singida iliona haitapendeza kuagiza bus tupu toka Dar mpaka Dom ili liwapeleke Singida.
2. Mnami 24/9/2021 Simba SC ilisaini mkataba na kampuni ya
Africarriers ambapo walitoa basi kubwa aina ya Golden Dragon la kisasa lenye uwezo wa kubeba abiria 60 kwa timu ya wakubwa,
Eicher yenye uwezo wa kubeba watu 35 kwa ajili ya Timu ya Wanawake na Costa kwa ajili ya Timu ya Vijana.

Screenshot_2022-11-11-10-50-04~2.jpg
 
Embu kwanza simba na yanga walipewa mabus na TBL, yale yako wapi pua kuna bus wemepwa na mdhamamini africaceries sijui ndivyo inavyoandikwa wewe unasemea bus lipi?
Bus walilopewa na africaceries ndilo wamechukua
 
Back
Top Bottom