Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye maelezo yako ulipowrka neno ' Eti' basi nikadharau.Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]
Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]
Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hebu kwanza mtoa mada ungenyoosha maelezo! Hilo basi si walipewa na mdhamini Africarriers kama sehemu ya mkataba wao!Walikubaliana kulipa Kwa installments ila mpaka Sasa Makolo hawajalipa installment Hata Moja
Unaleta habari za yule taahira wa Instagram Daud yanga. Utopolo.Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]
Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]
Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hawajawahi kupewa na mdhamini Habari ya kupewa ilikuwa geresha tu ya Simba kuonekana Wana mdhaminiHebu kwanza mtoa mada ungenyoosha maelezo! Hilo basi si walipewa na mdhamini Africarriers kama sehemu ya mkataba wao!
Sasa hayo malipo ya installment yanaingiaje tena kulipia basi walilopewa bure na mdhamini kwa makubaliano ya kutangaza biashara ya Kampuni kupitia hiyo klabu ya simba? Yaani unataka kusema hilo basi waliuziwa, au walidhaminiwa?
Kwa hiyo unatuambia kuwa Simba walipandia basi Airport kuelekea Singida? Tumia akili walau kidogo ulizopewa.Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]
Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]
Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jihad uongo!Lile kabumbu la yanga la juzi hukuliona
Ila Mbeya Linaenda Basi tupu, hapo Singida wameshindwa au sio?? We jamaa ni mbumbumbuKwa Taarifa Yako:-
1. Simba SC ilienda Singida na bus Kamwana kwa kua toka Dar mpaka Dom ilipanda mwewe.. Toka Dom to Singida iliona haitapendeza kuagiza bus tupu toka Dar mpaka Dom ili liwapeleke Singida.
2. Mnami 24/9/2021 Simba SC ilisaini mkataba na kampuni ya
Africarriers ambapo walitoa basi kubwa aina ya Golden Dragon la kisasa lenye uwezo wa kubeba abiria 60 kwa timu ya wakubwa,
Eicher yenye uwezo wa kubeba watu 35 kwa ajili ya Timu ya Wanawake na Costa kwa ajili ya Timu ya Vijana.
View attachment 2413146
Mbu³ aswaIla Mbeya Linaenda Basi tupu, hapo Singida wameshindwa au sio?? We jamaa ni mbumbumbu
Msemaj ndo nani yangaJihad uongo!
Msemaji alisema lile ni kombe la loosers, imekuaje tena wamekaza uno ili kufuzu kombe la loosers?
Ingawa wanasema wale jamaa ndo zao kugongwa Home na kutolewa kila leo, ila sio mbaya kusifia endapo miongoni mwa wanyonge kukiwa na nyapara!
Walikubaliana kulipa Kwa installments ila mpaka Sasa Makolo hawajalipa installmentt
Tuekee kapicha ka mkataba plz[emoji1593]
Simba hawajanunua basi Simba wali0ewa basi na AfricariersWakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]
Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]
Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ila Mbeya Linaenda Basi tupu, hapo Singida wameshindwa au sio?? We jamaa ni mbumbumbu
Utasikia tumeingiza Mil 469Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]
Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]
Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
AllyMsemaj ndo nani yanga
Kumbe mlienda na Kamwana kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa Taarifa Yako:-
1. Simba SC ilienda Singida na bus Kamwana kwa kua toka Dar mpaka Dom ilipanda mwewe.. Toka Dom to Singida iliona haitapendeza kuagiza bus tupu toka Dar mpaka Dom ili liwapeleke Singida.
2. Mnami 24/9/2021 Simba SC ilisaini mkataba na kampuni ya
Africarriers ambapo walitoa basi kubwa aina ya Golden Dragon la kisasa lenye uwezo wa kubeba abiria 60 kwa timu ya wakubwa,
Eicher yenye uwezo wa kubeba watu 35 kwa ajili ya Timu ya Wanawake na Costa kwa ajili ya Timu ya Vijana.
View attachment 2413146
Ni fala kabisa huyoIla Mbeya Linaenda Basi tupu, hapo Singida wameshindwa au sio?? We jamaa ni mbumbumbu