Tetesi: Basi la timu ya Simba linashikiliwa baada ya kushindwa kulipa mkopo wa basi hilo

Tetesi: Basi la timu ya Simba linashikiliwa baada ya kushindwa kulipa mkopo wa basi hilo

Toka vyura wala mihogo waingie makundi ya kombe la losers wanajiona kama wameshakuwa champions
 
Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]

Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]

Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwenye maelezo yako ulipowrka neno ' Eti' basi nikadharau.
 
Walikubaliana kulipa Kwa installments ila mpaka Sasa Makolo hawajalipa installment Hata Moja
Hebu kwanza mtoa mada ungenyoosha maelezo! Hilo basi si walipewa na mdhamini Africarriers kama sehemu ya mkataba wao!

Sasa hayo malipo ya installment yanaingiaje tena kulipia basi walilopewa bure na mdhamini kwa makubaliano ya kutangaza biashara ya Kampuni kupitia hiyo klabu ya simba? Yaani unataka kusema hilo basi waliuziwa, au walidhaminiwa?
 
Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]

Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]

Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unaleta habari za yule taahira wa Instagram Daud yanga. Utopolo.
 
Hebu kwanza mtoa mada ungenyoosha maelezo! Hilo basi si walipewa na mdhamini Africarriers kama sehemu ya mkataba wao!

Sasa hayo malipo ya installment yanaingiaje tena kulipia basi walilopewa bure na mdhamini kwa makubaliano ya kutangaza biashara ya Kampuni kupitia hiyo klabu ya simba? Yaani unataka kusema hilo basi waliuziwa, au walidhaminiwa?
Hawajawahi kupewa na mdhamini Habari ya kupewa ilikuwa geresha tu ya Simba kuonekana Wana mdhamini

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]

Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]

Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unatuambia kuwa Simba walipandia basi Airport kuelekea Singida? Tumia akili walau kidogo ulizopewa.
 
Lile kabumbu la yanga la juzi hukuliona
Jihad uongo!

Msemaji alisema lile ni kombe la loosers, imekuaje tena wamekaza uno ili kufuzu kombe la loosers?

Ingawa wanasema wale jamaa ndo zao kugongwa Home na kutolewa kila leo, ila sio mbaya kusifia endapo miongoni mwa wanyonge kukiwa na nyapara!
 
Kwa Taarifa Yako:-
1. Simba SC ilienda Singida na bus Kamwana kwa kua toka Dar mpaka Dom ilipanda mwewe.. Toka Dom to Singida iliona haitapendeza kuagiza bus tupu toka Dar mpaka Dom ili liwapeleke Singida.
2. Mnami 24/9/2021 Simba SC ilisaini mkataba na kampuni ya
Africarriers ambapo walitoa basi kubwa aina ya Golden Dragon la kisasa lenye uwezo wa kubeba abiria 60 kwa timu ya wakubwa,
Eicher yenye uwezo wa kubeba watu 35 kwa ajili ya Timu ya Wanawake na Costa kwa ajili ya Timu ya Vijana.

View attachment 2413146
Ila Mbeya Linaenda Basi tupu, hapo Singida wameshindwa au sio?? We jamaa ni mbumbumbu
 
Jihad uongo!

Msemaji alisema lile ni kombe la loosers, imekuaje tena wamekaza uno ili kufuzu kombe la loosers?

Ingawa wanasema wale jamaa ndo zao kugongwa Home na kutolewa kila leo, ila sio mbaya kusifia endapo miongoni mwa wanyonge kukiwa na nyapara!
Msemaj ndo nani yanga
 
Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]

Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]

Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Simba hawajanunua basi Simba wali0ewa basi na Africariers
 
Ila Mbeya Linaenda Basi tupu, hapo Singida wameshindwa au sio?? We jamaa ni mbumbumbu

We topolo Simba SC alishavuka level za kwenda na bus safari ndefu. Leta ushahidi Bus limeenda tupu mbeya.
 
Wakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]

Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]

Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Utasikia tumeingiza Mil 469
 
Kwa Taarifa Yako:-
1. Simba SC ilienda Singida na bus Kamwana kwa kua toka Dar mpaka Dom ilipanda mwewe.. Toka Dom to Singida iliona haitapendeza kuagiza bus tupu toka Dar mpaka Dom ili liwapeleke Singida.
2. Mnami 24/9/2021 Simba SC ilisaini mkataba na kampuni ya
Africarriers ambapo walitoa basi kubwa aina ya Golden Dragon la kisasa lenye uwezo wa kubeba abiria 60 kwa timu ya wakubwa,
Eicher yenye uwezo wa kubeba watu 35 kwa ajili ya Timu ya Wanawake na Costa kwa ajili ya Timu ya Vijana.

View attachment 2413146
Kumbe mlienda na Kamwana kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmekwisha
Soon mtapanda carry
 
Back
Top Bottom