ninosi
Senior Member
- Jun 30, 2022
- 151
- 333
Mjinga akija kukuomba ushauri, utamshauri kutokana na ujinga aliokuja nao.Kumbe mlienda na Kamwana kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmekwisha
Soon mtapanda carry
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga akija kukuomba ushauri, utamshauri kutokana na ujinga aliokuja nao.Kumbe mlienda na Kamwana kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmekwisha
Soon mtapanda carry
Ulichokiandika na uhalisia tofautWalikubaliana kulipa Kwa installments ila mpaka Sasa Makolo hawajalipa installment Hata Moja
TOMATOSource
Toa chanzo na suala la singida kutumia kamwana huitaji degree km profesa muhongoWakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]
Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]
Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Punguza kula mihogo ,kenge weweWakuu taarifa iliyopo ni kwamba watani kwa sasa hawana basi baada ya basi lao kukamatwa na dalali aliyeagizwa na kampuni iliyowauzia basi. Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia. [emoji28][emoji28]
Kwa sasa timu ya Simba inatumia basi la Kamwana kwenye safari zao na hata juzi wameenda Singida na hilo basi la Kamwana. Eti timu kubwa na timu ya kimataifa! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1316][emoji1316]
Unajitapa uko kwenye nafasi ya #14 kwa Vilabu Bora Afrika huku unashindwa kulipa mkopo wa basi lako, mtawakumbuka SportPesa.[emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huu ulikuwa Mkopo bhana.
Mlizugwa tu.
Sababu ni wapi Simba anaitangaza Aafricarriers ?
Wewe mtaani unafahamika kama mwajuma kunuka chupi mkononi! Tabia za uzushi na kunyukwa ndio maisha yako huna jipya!!Tunga uzushi mwingine matako yalie bwii.Walikubaliana kulipa Kwa installments ila mpaka Sasa Makolo hawajalipa installment Hata Moja
Wakashindwa hata kuchukua shabibyKamwana hii hii ya kwendea kayii
Naleo uwanja wa Taifa Simba hawakuja na basi lao lililo zoeleka.Uwanja wa ndege wa Singida unaujua? Timu ilipanda ndege mpaka Dodoma kisha ikapanda basi kutoka Dom to Singida, sasa hizo hbr zako unazitoa wapi?
Hawa uto akili zinascratchHebu kwanza mtoa mada ungenyoosha maelezo! Hilo basi si walipewa na mdhamini Africarriers kama sehemu ya mkataba wao!
Sasa hayo malipo ya installment yanaingiaje tena kulipia basi walilopewa bure na mdhamini kwa makubaliano ya kutangaza biashara ya Kampuni kupitia hiyo klabu ya simba? Yaani unataka kusema hilo basi waliuziwa, au walidhaminiwa?
Habari yake Ina utataHebu kwanza mtoa mada ungenyoosha maelezo! Hilo basi si walipewa na mdhamini Africarriers kama sehemu ya mkataba wao!
Sasa hayo malipo ya installment yanaingiaje tena kulipia basi walilopewa bure na mdhamini kwa makubaliano ya kutangaza biashara ya Kampuni kupitia hiyo klabu ya simba? Yaani unataka kusema hilo basi waliuziwa, au walidhaminiwa?
Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia.
Bus walilopewa na africaceries ndilo wamechukua
Kwa hiyo ilikuwa ni mauziano, sio udhamini tena?Walikubaliana kulipa Kwa installments ila mpaka Sasa Makolo hawajalipa installment Hata Moja