Tetesi: Basi la timu ya Simba linashikiliwa baada ya kushindwa kulipa mkopo wa basi hilo

Walikubaliana kulipa Kwa installments ila mpaka Sasa Makolo hawajalipa installment Hata Moja
Mkuu kama Mkataba bado haujaisha basi bus bado la simba wawe wamelipa au hawajalipba simba inapaswa kukamilisha malipo pale yu Mkataba utakapokuwaumefika tamati
 
Wenxio wanagawana vitaru vya madini sayari ya mars na mwezini wewe umenunua bando kuelezea umbea wa mabasi ya Simba,mbona serikali yenyewe inadaiwa matrilioni wala huoni kama ni issue
 
Wenxio wanagawana vitaru vya madini sayari ya mars na mwezini wewe umenunua bando kuelezea umbea wa mabasi ya Simba,mbona serikali yenyewe inadaiwa matrilioni wala huoni kama ni issue
Jifunze kuandika Vzr then urudi
 
Hi Basi la simba la lililotolewa(sio kununuliwa) na africarries tuliliona na likatumika. Kuna alieona lile la yanga? Au lilikua linatumika mtandaoni
 
Huu ulikuwa Mkopo bhana.

Mlizugwa tu.

Sababu ni wapi Simba anaitangaza Aafricarriers ?
 
Lile kabumbu la yanga la juzi hukuliona
 
Hi
Basi la simba la lililotolewa(sio kununuliwa) na africarries tuliliona na likatumika. Kuna alieona lile la yanga? Au lilikua linatumika mtandaoni
NI MKOPO ULE WEWE.

Africarriers wanafaidika nini pale, wana matangazo?
 
Kwa hiyo Mliposikia mkataba mkajua mmepewa bure?

Hata mkopo una Mkataba, klavier haikuweka wazi ile ishu.

U Sipo Lipia instalment inajulikana nini kinafuata
 
Jifunze kuandika Vzr then urudi
Mpaka hapo ujumbe umekufikia.Mtu mzima sina la kujifunza,acha mambo ya watu,I remember last time niliona wazungu wanapiga makofi baada ya kufika safari,ila sisi hata ifanyike nini Kazi yetu kutafuta mabaya kulalamika,mvua imeona isiwe shida imetia mgomo.Check the whites kila muda wanasoma vitabu kuongeza maarifa sisi tunapimana kwa majungu.This is Mean,in full set
 
Mwamba hujapepesa umempa na marejeo kabisa huyu mla mihogo
 
Wale ni wadhamini wenza simba ya wanawake na wanaume na wanatangaza magari ya TATA. Hiyo ndo faida ya kuwa timu kubwa unalipwa kwa kutumia brand yeyote kama timu yenu inalipa... one day mkikua mtalipwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unaambiwa Mmekopa gari limezuiwa, we unaleta lononi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…