Tetesi: Basi la timu ya Simba linashikiliwa baada ya kushindwa kulipa mkopo wa basi hilo

Kumbe mlienda na Kamwana kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmekwisha
Soon mtapanda carry
Mjinga akija kukuomba ushauri, utamshauri kutokana na ujinga aliokuja nao.
 
Kanjibhai Kanjibhai tafadhali usitutafute
 
Toa chanzo na suala la singida kutumia kamwana huitaji degree km profesa muhongo
 
Punguza kula mihogo ,kenge wewe
 
Huu ulikuwa Mkopo bhana.

Mlizugwa tu.

Sababu ni wapi Simba anaitangaza Aafricarriers ?


Miutopolo mshaambiwa mwenye akili hukoni Jk pekee!
Mnakurupuka tu...!!
Mkataba unaujua...?

Hizo chata za Africarriers kwenye nguo walizovaa siyo matangazo?
Ukiangalia mechi za simba wanazochezea uwanja wa nyumbani, mabango ya Africarriers yapo, hayo si matangazo?
 
Baada ya kushindwa kukodi ndege kama walivyofanya simba sasa mmeona mje na story ya bus ili mbalance story uzuri viongozi wa simba hata wasikie propaganda gani wao mara zote huamua kukaa kimya kwasababu wanajua wanachokifanya.
 
Walikubaliana kulipa Kwa installments ila mpaka Sasa Makolo hawajalipa installment Hata Moja
Wewe mtaani unafahamika kama mwajuma kunuka chupi mkononi! Tabia za uzushi na kunyukwa ndio maisha yako huna jipya!!Tunga uzushi mwingine matako yalie bwii.
 
Inawezekana taarifa za mleta bandiko zipo sahihi maana Leo Simba wameingia uwanjani na Costa nadhani itakua ya kukodi.
Ingekua vyema wangetumia basi la Simba queen [emoji146] kwakua halina madeni Kwaiyo uwezekano wa kukamatwa ni mdogo.
 
Uwanja wa ndege wa Singida unaujua? Timu ilipanda ndege mpaka Dodoma kisha ikapanda basi kutoka Dom to Singida, sasa hizo hbr zako unazitoa wapi?
 
Uwanja wa ndege wa Singida unaujua? Timu ilipanda ndege mpaka Dodoma kisha ikapanda basi kutoka Dom to Singida, sasa hizo hbr zako unazitoa wapi?
Naleo uwanja wa Taifa Simba hawakuja na basi lao lililo zoeleka.
 
Hawa uto akili zinascratch

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Habari yake Ina utata
 
Basi limekamatwa baada ya Simba kushindwa kulipa deni kwa kampuni iliyowauzia.

Bus walilopewa na africaceries ndilo wamechukua

Mtu mwenye akili zake atagundua kwamba umejichanganya mno, maana ulianza kusema Simba waliuziwa hilo basi, umekuja tena na hii ya kusema Simba walipewa na mdhamini. Sasa tukuamini kwa lipi, walipewa au waliuziwa? Je, wadhamini huwa wanauza zawadi ya udhamini?
 
Simba walidhaminiwa basi, hawakukopa basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…