Basi sawa, tuma salamu kwa watu wawili

Basi sawa, tuma salamu kwa watu wawili

Naona jua limepunguaaa na mic 🎤 imenifikiaaaaa ... Naanza kutuma samaleko zangu kwa Kijana masikini

Popote ulipo utambue Mimi ni Mtumishi wa Mungu 😂😂😂

Nakuombea mafanikio makubwa 2025
Nipo mtumishi, naomba kabla ya kuniombea mafanikio niombee kwanza nimpate, mwanamke chibonge kama ephen_

atakaeweza kunyanyua hayo mafriji na masofa wakati tunahamia kwenye nyumba yetu mpya
 
20250130_192952.jpg
 
Back
Top Bottom