makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima niwepo kwenye harusi ya babu yangu☺️
Asante mkuu vp leo mhindi tunampiga kwa staili ganiAsante kwa salamu Tumwesige senior
Salamu zangu zikufikie pia mkuu,asante
kama wewe ni mrefu inabidi uwe bride maid kwa sababu mbele utatuzoba siye wafupiLazima niwepo kwenye harusi ya babu yangu☺️
Asantee mkuu Mr SlimNatuma salamu kwa To yeye na Joanah .
Maisha marefu nawatakia.
Siji kutuma kwa Lucas Mwashambwa hata iweje...Mtoto wa mama huyo.
Usijali.kama wewe ni mrefu inabidi uwe bride maid kwa sababu mbele utatuzoba siye wafupi
Duh! Sasa jamani mie napenda pilau kuliko mbususu ukinipa pilau story kwisha mbususu sihitajiKaribu sana mzabzab pilau day ni sunday ila njoo ule pilau tu mbususu hamna😀😀
Nipo mtumishi, naomba kabla ya kuniombea mafanikio niombee kwanza nimpate, mwanamke chibonge kama ephen_Naona jua limepunguaaa na mic 🎤 imenifikiaaaaa ... Naanza kutuma samaleko zangu kwa Kijana masikini
Popote ulipo utambue Mimi ni Mtumishi wa Mungu 😂😂😂
Nakuombea mafanikio makubwa 2025
KUna kitu nataka kukuambiaUsijali.
Mtego wa nzi 😆😆😆Duh! Sasa jamani mie napenda pilau kuliko mbususu ukinipa pilau story kwisha mbususu sihitaji
Niambie bibi yangu☺️KUna kitu nataka kukuambia
SanaKumbe na vibonge tunapendwa😍
Red black shukrani sana mkuu kwa samalekoo na ujumbe wa nguvuunderscore itembe samalekoooo zangu zikufikie popote ulipo mkuu!
Mungu akubariki sana na kukupa fedha nyingiiii
Ujumbe: achekaye wa mwisho hucheka kwa nguvuuu
MNapendana kama wapenzi au kama babu na mjukuu nisije nikaharibu hali ya hewaNiambie bibi yangu☺️
asante mc namba 1 Red black samaleko imefika pokea samaleko kwa niaba ya makutopora
Hata nami nakutumia salamu kubwa tu mkuu.