Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii quarter ya mwisho walianza vizuri sijui nn kimewasibuI'm so disappointed
Julien ama balaa sana yule Mwanadada., atatawala sana mbio fupi, acha tumsubiri 200m hapo kesho.Huwa napenda sana kutazama wafukuza upepo, na leo nilikuwa nataka kuona Julien Alfred vs Sherry-Ann Pryce finals za 100m, lakini bahati mbaya hii battle haijatokea...
Shauku ya kupata 3 iliwatoa mchezoniHii quarter ya mwisho walianza vizuri sijui nn kimewasibu
Kabisa aisee, zile wangetafuta 2 points wangezipata zoteShauku ya kupata 3 iliwatoa mchezoni
Kama wanalazimisha mambo, game dhidi ya USA walitulia sana, leo wangekuwa na huo utulivu, saa hii tungekuwa tunawapongeza hapa.Ile game na US walicheza vizuri tu, hii sijui imekuaje
Na hasa hii second half
Na turn over nyingi sana huwezi cheza na Serbia Kisha ukaruhusu turn over nyingi uwe salamaKabisa aisee, zile wangetafuta 2 points wangezipata zote
Nilijua Serbia atashinda, Ila sio kwa wepesi hiviNa turn over nyingi sana huwezi cheza na Serbia Kisha ukaruhusu turn over nyingi uwe salama
Game iliypolita na US walipiga 2915pts in 4th quarter
Serbia ni watabe kwenye basketball binafsi nilijua wangeshinda ila Sudan wamekuwa na papara nyingiNilijua Serbia atashinda, Ila sio kwa wepesi hivi
Wangekua na points difference nzuri tuSSD wangepoteza kwa 1 point wangeingia quarter finals.
Yah na hii game wangekuwa makini wangepata matokeoSSD wangepoteza kwa 1 point wangeingia quarter finals.