Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

Occult Sciences 101
Lecturer: Mshana Jr
Academic Year:2021/2022

[emoji3][emoji3]

Somo limeeleweka
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji1548][emoji23][emoji23]
 
Uko kiroho zaidi imeisha hiyo....

agiza value na coca nakuja kukulipia!
Barikiwa mkuu wangu nafanya hivyo ASAP [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
JPEG_20210718_131308_4460255756565711682.jpg
 
Zipo silaha zimemwaga damu lakini hazijaondoka na roho na zimeokoa wasio na hatia na kama ni kuua zimeua wabaya wanaostahili kufa

Ndicho nilichokimaanisha mkuu, silaha ni silaha tu haijalishi imepitia mikono ipi/aliyeitumia alikuwa na lengo gani. Hakuna silaha yenye deal na isiyokuwa na deal (kishirikina).
 
Nimetoka kapa! Ila kuhusu nguo za mitumba hata mimi nasubiri jibu....Maana hizi zinazojiita pisi kali zinazovaa nguo za mitumba hususan (vifuniko vya asali) vinavuliwa kuliko samaki! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Sio kila kitu ni ushirikina , watu mnalewa chakari, akili zinawehuka, utaacha kufyatua risasi hovyo hamna cha ushirikina hapo, ni pombe tu hizo na kua mjinga wa kutoweza kucontrol pombe ulizokunywa au unazokunywa
Siku nyingine msisingizie dini yetu nzuri ya ushirikina, tunautumia kwa manufaa makubwa na yenye kuleta maendeleo
Watu wengine hao waendelee kunywa makonyagi chupa nzima wafyatuane risasi iwe ni uwendawazimu wao na isisingiziwe dini yetu ya ushirikina/mizimu/uganga
Naomba nikueleweshe tena kwa utulivu.. Hakuna niliposema lile ni tukio la KISHIRIKINA.. bali nimesema silaha husika ni malighafi nzuri kishirikina.. Hebu rudia kusoma heading
 
Tuliwahi kununua bastola pale Obay na raia mmoja wa nje.. Shida tulizopata na ile silaha sitakaa nizisahau....kuja kupata historia yake ya kweli niliogopa na kutishika mno...
Wbu tupe hicho kisa kidogo na sisi tuongeze ufahamu
 
Nimetoka kapa! Ila kuhusu nguo za mitumba hata mimi nasubiri jibu....Maana hizi zinazojiita pisi kali zinazovaa nguo za mitumba hususan (vifuniko vya asali) vinavuliwa kuliko samaki! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
vifuniko vya asali) vinavuliwa kuliko samaki! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]
 
Mawazo ya kijinga kabisa haya,kwenye karne hii yenye sayansi na teknolojia bado kuna mtu anawaza sijui makafara!!

Kazi ya Bastola/Bunduki ni kuua tu,so silaha zote zinazoua hapa dunuani zina mikosi na laana?

Magari,Ndege,Meli...zikipata ajali na kuua ina maana zilinunuliwa kwa pesa haramu? Zinakua ni kafara?

Acha kupotosha wewe,haya mawazo ya kijinga baki nayo wewe peke yako,usiaminishe hiki kizazi cha sasa upuuzi usiokua na maana.
 
Ndicho nilichokimaanisha mkuu, silaha ni silaha tu haijalishi imepitia mikono ipi/aliyeitumia alikuwa na lengo gani. Hakuna silaha yenye deal na isiyokuwa na deal (kishirikina).
Basi yangu ilikuwa na bahati.. Nilinunua mtumba South na nikakaa nayo miaka mitatu bila kujeruhi mtu.. Niliuza nilipokuwa narudi bongo
 
Back
Top Bottom