Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

Silaha ya pili kwani unataka kuvamia kambi ya jeshi? [emoji4][emoji4]
Hapana nimekosea tu makusudio ni kuibadilisha ya sasa.kwa sababu hizi silaha unajua kuna baada ya muda fulani zinakuwa kama zinahitaji update unaipeleka ya zamani unanua ya kisasa,kwa mfano kuna zile ambazo inaweza kujilinda kwa kuua watu 5 kwa dakika moja na ile watu 3 kwa dakika moja .inategemea na mfuko wako tu.ila ni hizi ndogo ndogo na siyo za kuvamia.ukitaka za kivita hizo nenda mpakani labda utapata zile miili 20 kwa dakika na kuendelea ila ni kinyume cha sheria kwa sisi nchi yetu.
 
Mawazo hasi ya mwanadamu,hata ufanyaje futi 6 ni mali yako, kujimwambafai kwa mwanadamu ni kwa kipindi. Nunua hata maguruneti MUNGU akikuhitaji ubishi hakuna. Wacheni mawazo ya watu 5 mara 3 ni mawazo mabaya.
 
Basi yangu ilikuwa na bahati.. Nilinunua mtumba South na nikakaa nayo miaka mitatu bila kujeruhi mtu.. Niliuza nilipokuwa narudi bongo

Mshukuru Mwenyezi Mungu kwa hilo [emoji1431], lengo la silaha ni kujipatia ulinzi ingawa imekuwa ikitumika vinginevyo ( Kutumika katika uporaji, visasi ama kutumika tofauti na makusudio haya kutokana na akili ya mtu kwa wakati huo) Mtu anaweza kumiliki silaha ndiyo lakini asikutane na changamoto ya yeye kuitumia kuumiza (hapa naongelea ulinzi wa mmiliki).

Vile vile kuna watu wana mihemko na hasira za ajabu kiasi cha kushindwa kuzicontrol hao ndo wakimiliki silaha wanasababisha majonzi katika jamii.
 
Duh mshana Jr nawe

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa na kuwaza ulozi mda wote! Hatari sana hii...
[emoji2][emoji2][emoji2] Ni mawazo pia.. Je kuna ubaya? Au ndio tumefika pa kupangiana mawazo?[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2984][emoji2984][emoji2984]
 
hapo uliposema "kuna maisha mapya...yani wake za marehemu, dah washakuwa wajane, mama kapoteza mtoto, mke kapoteza mume.inauma sana,
 
hapo uliposema "kuna maisha mapya...yani wake za marehemu, dah washakuwa wajane, mama kapoteza mtoto, mke kapoteza mume.inauma sana,
Watoto wamepoteza baba[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Dah.... Profesa... Uzi mchungu sana kwa wanaonunua magari used [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Hii hapa video akifundishwa shabaha.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…