Kweli kabisa maana nna miaka 30 na kitu nakida pombe,tatizo kuna vitabia mtu ukiwa navyo alafu ukichanganya na mtungi lazima itakupelekeshaNapingana nawe kwenye ubaya wa pombe...pombe sio mbaya kama mtumiaji anajitambua.. Kuna watu wamenenewa vibaya na pombe hao haiwafai. Kuna malimbukeni kuna waigaji kuna wataka sifa ... Wote hao haiwafai
Aise kweli kabisaWewe unaamini kwamba Bastola ndiyo itakulinda?
Kama Sio mtu wa Mambo ya Ulinzi Na Usalama , silaha unayomiliki kama hujaua nayo mtu basi itakuuwa wewe, yaani put that on note.
History inaonesha wazi Raia wengi wanaomiliki Bastola ni aidha Ina wamaliza au inamaliza wengine for no reason. Nina miliki Bastola lakini kwa sababu ya nature ya kazi yangu inanitaka hivo. Na kuna siku almanusura ilitaka kunimalizia kiumbe changu. I totally discourage mtu kumiliki Bastola kwa matumizi ya kawaida, eti kwa kigezo cha kulinda mali zangu nyumbani.
Bastola hailindi mali zako, watu wakiamua kukufanyia unyama wanakufanyia Na Bastola yako .... maana it is all about timing. Erasto msuya alikuwa na Bastola , ilimsaidia ?kila siku tunasikia polisi na wanajeshi wanapigana Bastola for no reason. Yaani mtu anakuja ofisi and Yupo desperate, anafika na kulipua wenzie, na haijulikani sababu ni nini. Ndiyo ipo Hivyo, ni vile tu haitakiwi kutangazwa. Lakini jeshini na polisi matukio hayo ni kawaida sana
Kwanza Bastola zenyewe mnazomiliki ni hizi za Taa, halafu inajikoki tena for more that 30sec, ndio usikie tena Taa ..yaani ina shout then Ina reload . .., wakati yako ina reload , mwenzio kashakupiga mwili mzima.
Ditopile aliulizwa, Dito kwa nini umemuua huyu maskini, alijibu kwa hakika hakukusudia kumuua bali alitaka kumtisha Tu, wakati ana knock kioo cha gari kwa kutumia Bastola, trigger ikajiset na kujiachia.... !
Bastola kama haijakuua basi utaua wengine hata kwa bahati mbaya. Na ukishaua mtu huwezi kuwa sawa sawa tena. Sishauri kabjsa kama Sio mtu wa ulinzi na usalama. Ishi vyema na watu, epuka wizi wizi, na ubishi ubishi usio na msingi, usiweke bifu na watu. Asilimia 80 yetu ni mania Bipolar , akiwa kwenye moody, atafanya kisha kujuta. Wengi wetu ni machizi wasomi so be careful
Bastola kama haijakuua basi utaua wengine hata kwa bahati mbaya. Na ukishaua mtu huwezi kuwa sawa sawa tena. Sishauri kabjsa kama Sio mtu wa ulinzi na usalama. Ishi vyema na watu, epuka wizi wizi, na ubishi ubishi usio na msingi, usiweke bifu na watu. Asilimia 80 yetu ni mania Bipolar , akiwa kwenye moody, atafanya kisha kujuta. Wengi wetu ni machizi wasomi so be careful[emoji1545][emoji817][emoji736][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Wewe unaamini kwamba Bastola ndiyo itakulinda?
Kama Sio mtu wa Mambo ya Ulinzi Na Usalama , silaha unayomiliki kama hujaua nayo mtu basi itakuuwa wewe, yaani put that on note.
History inaonesha wazi Raia wengi wanaomiliki Bastola ni aidha Ina wamaliza au inamaliza wengine for no reason. Nina miliki Bastola lakini kwa sababu ya nature ya kazi yangu inanitaka hivo. Na kuna siku almanusura ilitaka kunimalizia kiumbe changu. I totally discourage mtu kumiliki Bastola kwa matumizi ya kawaida, eti kwa kigezo cha kulinda mali zangu nyumbani.
Bastola hailindi mali zako, watu wakiamua kukufanyia unyama wanakufanyia Na Bastola yako .... maana it is all about timing. Erasto msuya alikuwa na Bastola , ilimsaidia ?kila siku tunasikia polisi na wanajeshi wanapigana Bastola for no reason. Yaani mtu anakuja ofisi and Yupo desperate, anafika na kulipua wenzie, na haijulikani sababu ni nini. Ndiyo ipo Hivyo, ni vile tu haitakiwi kutangazwa. Lakini jeshini na polisi matukio hayo ni kawaida sana
Kwanza Bastola zenyewe mnazomiliki ni hizi za Taa, halafu inajikoki tena for more that 30sec, ndio usikie tena Taa ..yaani ina shout then Ina reload . .., wakati yako ina reload , mwenzio kashakupiga mwili mzima.
Ditopile aliulizwa, Dito kwa nini umemuua huyu maskini, alijibu kwa hakika hakukusudia kumuua bali alitaka kumtisha Tu, wakati ana knock kioo cha gari kwa kutumia Bastola, trigger ikajiset na kujiachia.... !
Bastola kama haijakuua basi utaua wengine hata kwa bahati mbaya. Na ukishaua mtu huwezi kuwa sawa sawa tena. Sishauri kabjsa kama Sio mtu wa ulinzi na usalama. Ishi vyema na watu, epuka wizi wizi, na ubishi ubishi usio na msingi, usiweke bifu na watu. Asilimia 80 yetu ni mania Bipolar , akiwa kwenye moody, atafanya kisha kujuta. Wengi wetu ni machizi wasomi so be careful
ukipita maeneo hayo kila mtu anastory zake sema ndo hivyoMmh kuna kilichokuwa kinamtafuta kumbe
Shekhee MshanaJr!?Achaga mambo ya kuwaza ushirikina shekhee.
AhaaNimeiangalia yote
Nilikuwa namuelewesha mdau hapo
Ndugu Mshana
Nimewahi pia kusoma makala kuwa Aridhi za Rwanda na Burundi zitakuja kupokea Roho za mauaji tena kwa sababu historia yao tangu kale ipo hivyo. Unasemaje hapo?Silaha hii nimeitumia kama kiwakilishi tu cha kuelezea tafsiri za kiroho kwenye matukio kama hayo.. Na zaidi nimeandika mengi nje ya hiyo silaha naona hukuyaona, hukuyazingatia au hukuyaelewa
Yeah.. There is always a come back.. Kuna roho zimelala kule bado zinatafuta kisasiNimewahi pia kusoma makala kuwa Aridhi za Rwanda na Burundi zitakuja kupokea Roho za mauaji tena kwa sababu historia yao tangu kale ipo hivyo. Unasemaje hapo?
Sahihi kabisa komrade si ajabu nyuma ya pazia kafara la damu lilihitajika sana hapo na limepatikana tayariMkuu, asante kwa mtazamo wako wa kiroho.
Pia kuna mtazamo wa kishirikina. Watu wawili wamepoteza maisha, mmoja ana sifa ya ukorofi, majivuno na ubabe, na mwingine mmpole, mstaarabu na asiyependa makuu.
Nina mashaka mmiliki alizidisha manjonjo wakati anaizindua Baa kivingine "NEW ...." Tusubiri kushuhudia wateja wakiongezeka kwenye hiyo baa.
Ni mtazamo wangu tu
Hizi nong'ono kitaani ya kuwa mziba pancha alikuwa anaziba pancha ya my wife wa jamaa lina ukweli ndugu mchambuzi?...hebu liangalie katika vyombo vyako.Angenusurika kujiua angekwambia hajui ninini kilitokea
Brother yupo pouwa kabisa.Brother hii sio poa bwana, yani watu walewe wauane wewe uje uhusishe na ushirikina kweli?
Itafika mahali sasa hata ukipaliwa na maji utasema ni ushirikina... Penye wengi pana mengi.
Uwingi wa watu duniani lazima kuwe na matukio ya tofautitofauti ya vurugu, furaha na mengine mengi
Kila kifo huja na mengi..huwa na mengi... Ni kati ya hayo mengine yote moja tu huwa la hakikaHizi nong'ono kitaani ya kuwa mziba pancha alikuwa anaziba pancha ya my wife wa jamaa lina ukweli ndugu mchambuzi?...hebu liangalie katika vyombo vyako.
[emoji736][emoji817][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Brother yupo pouwa kabisa.
Mimi nimemuelewa vizuri, wewe bado..
Hajasema kwamba tukio Hilo limesababishwa na ushirikiano, Bali , baada ya tukio Hilo, ile silaha iloyotumika ni dili, kishirikina. Tena amejaribu kutoa mfano jinsi ambavyo thamani ya silaha iliyowahi kuua Ni kubwa kuliko ile isiyoua bado.
Sasa haya matabaka ya thamani ya hizi silaha hayawezi kuwepo pasipo kuwepo na wazo la kishirikina.
Ndiyo maana kasema hiyo silaha itatafutwa kwa udi na uvumba , yote ni kwa sababu za kishirikina ambazo zinaamini kuwa thamani yasilaha hiyo ipo juu..
Kagame asipokuwa Makini anaweza kuwa kisababishiYeah.. There is always a come back.. Kuna roho zimelala kule bado zinatafuta kisasi