Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

Napingana nawe kwenye ubaya wa pombe...pombe sio mbaya kama mtumiaji anajitambua.. Kuna watu wamenenewa vibaya na pombe hao haiwafai. Kuna malimbukeni kuna waigaji kuna wataka sifa ... Wote hao haiwafai
Kweli kabisa maana nna miaka 30 na kitu nakida pombe,tatizo kuna vitabia mtu ukiwa navyo alafu ukichanganya na mtungi lazima itakupelekesha

Ova
 
Wewe unaamini kwamba Bastola ndiyo itakulinda?

Kama Sio mtu wa Mambo ya Ulinzi Na Usalama , silaha unayomiliki kama hujaua nayo mtu basi itakuuwa wewe, yaani put that on note.

History inaonesha wazi Raia wengi wanaomiliki Bastola ni aidha Ina wamaliza au inamaliza wengine for no reason. Nina miliki Bastola lakini kwa sababu ya nature ya kazi yangu inanitaka hivo. Na kuna siku almanusura ilitaka kunimalizia kiumbe changu. I totally discourage mtu kumiliki Bastola kwa matumizi ya kawaida, eti kwa kigezo cha kulinda mali zangu nyumbani.

Bastola hailindi mali zako, watu wakiamua kukufanyia unyama wanakufanyia Na Bastola yako .... maana it is all about timing. Erasto msuya alikuwa na Bastola , ilimsaidia ?kila siku tunasikia polisi na wanajeshi wanapigana Bastola for no reason. Yaani mtu anakuja ofisi and Yupo desperate, anafika na kulipua wenzie, na haijulikani sababu ni nini. Ndiyo ipo Hivyo, ni vile tu haitakiwi kutangazwa. Lakini jeshini na polisi matukio hayo ni kawaida sana

Kwanza Bastola zenyewe mnazomiliki ni hizi za Taa, halafu inajikoki tena for more that 30sec, ndio usikie tena Taa ..yaani ina shout then Ina reload . .., wakati yako ina reload , mwenzio kashakupiga mwili mzima.

Ditopile aliulizwa, Dito kwa nini umemuua huyu maskini, alijibu kwa hakika hakukusudia kumuua bali alitaka kumtisha Tu, wakati ana knock kioo cha gari kwa kutumia Bastola, trigger ikajiset na kujiachia.... !

Bastola kama haijakuua basi utaua wengine hata kwa bahati mbaya. Na ukishaua mtu huwezi kuwa sawa sawa tena. Sishauri kabjsa kama Sio mtu wa ulinzi na usalama. Ishi vyema na watu, epuka wizi wizi, na ubishi ubishi usio na msingi, usiweke bifu na watu. Asilimia 80 yetu ni mania Bipolar , akiwa kwenye moody, atafanya kisha kujuta. Wengi wetu ni machizi wasomi so be careful
Aise kweli kabisa
Umenikumbusha kile kisa cha yule
Prof wa udsm alikuwa anasafisha silaha yake
Hapo hapo ikamtandika mwenyewe

Ova
 
Wewe unaamini kwamba Bastola ndiyo itakulinda?

Kama Sio mtu wa Mambo ya Ulinzi Na Usalama , silaha unayomiliki kama hujaua nayo mtu basi itakuuwa wewe, yaani put that on note.

History inaonesha wazi Raia wengi wanaomiliki Bastola ni aidha Ina wamaliza au inamaliza wengine for no reason. Nina miliki Bastola lakini kwa sababu ya nature ya kazi yangu inanitaka hivo. Na kuna siku almanusura ilitaka kunimalizia kiumbe changu. I totally discourage mtu kumiliki Bastola kwa matumizi ya kawaida, eti kwa kigezo cha kulinda mali zangu nyumbani.

Bastola hailindi mali zako, watu wakiamua kukufanyia unyama wanakufanyia Na Bastola yako .... maana it is all about timing. Erasto msuya alikuwa na Bastola , ilimsaidia ?kila siku tunasikia polisi na wanajeshi wanapigana Bastola for no reason. Yaani mtu anakuja ofisi and Yupo desperate, anafika na kulipua wenzie, na haijulikani sababu ni nini. Ndiyo ipo Hivyo, ni vile tu haitakiwi kutangazwa. Lakini jeshini na polisi matukio hayo ni kawaida sana

Kwanza Bastola zenyewe mnazomiliki ni hizi za Taa, halafu inajikoki tena for more that 30sec, ndio usikie tena Taa ..yaani ina shout then Ina reload . .., wakati yako ina reload , mwenzio kashakupiga mwili mzima.

Ditopile aliulizwa, Dito kwa nini umemuua huyu maskini, alijibu kwa hakika hakukusudia kumuua bali alitaka kumtisha Tu, wakati ana knock kioo cha gari kwa kutumia Bastola, trigger ikajiset na kujiachia.... !

Bastola kama haijakuua basi utaua wengine hata kwa bahati mbaya. Na ukishaua mtu huwezi kuwa sawa sawa tena. Sishauri kabjsa kama Sio mtu wa ulinzi na usalama. Ishi vyema na watu, epuka wizi wizi, na ubishi ubishi usio na msingi, usiweke bifu na watu. Asilimia 80 yetu ni mania Bipolar , akiwa kwenye moody, atafanya kisha kujuta. Wengi wetu ni machizi wasomi so be careful
Bastola kama haijakuua basi utaua wengine hata kwa bahati mbaya. Na ukishaua mtu huwezi kuwa sawa sawa tena. Sishauri kabjsa kama Sio mtu wa ulinzi na usalama. Ishi vyema na watu, epuka wizi wizi, na ubishi ubishi usio na msingi, usiweke bifu na watu. Asilimia 80 yetu ni mania Bipolar , akiwa kwenye moody, atafanya kisha kujuta. Wengi wetu ni machizi wasomi so be careful[emoji1545][emoji817][emoji736][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Mmh kuna kilichokuwa kinamtafuta kumbe
ukipita maeneo hayo kila mtu anastory zake sema ndo hivyo
marehemu hasemwi vibaya,ila serikali iangalie tu sana vijana wengi sana sinza wana [emoji379][emoji379].

mie last week nilikuwa nadrive mbele yangu kulikuwa na crown jamaa kila nikimpigia horn hasogei baada ya kupiga horn kama dakika 5 nzma jamaa akashuka na paip,nilivyoona tu anaichomoa nikarukia mlngo wa nyuma nkafngua mlango fasta nkakimbia zangu. dogo alikuwa yank around 32years

serikali inabidi iangalie sana kwenye kutoa hvi vibal vya kumiliki silaha
 
Silaha hii nimeitumia kama kiwakilishi tu cha kuelezea tafsiri za kiroho kwenye matukio kama hayo.. Na zaidi nimeandika mengi nje ya hiyo silaha naona hukuyaona, hukuyazingatia au hukuyaelewa
Nimewahi pia kusoma makala kuwa Aridhi za Rwanda na Burundi zitakuja kupokea Roho za mauaji tena kwa sababu historia yao tangu kale ipo hivyo. Unasemaje hapo?
 
Mkuu, asante kwa mtazamo wako wa kiroho.

Pia kuna mtazamo wa kishirikina. Watu wawili wamepoteza maisha, mmoja ana sifa ya ukorofi, majivuno na ubabe, na mwingine mmpole, mstaarabu na asiyependa makuu.

Nina mashaka mmiliki alizidisha manjonjo wakati anaizindua Baa kivingine "NEW ...." Tusubiri kushuhudia wateja wakiongezeka kwenye hiyo baa.

Ni mtazamo wangu tu
 
Nimewahi pia kusoma makala kuwa Aridhi za Rwanda na Burundi zitakuja kupokea Roho za mauaji tena kwa sababu historia yao tangu kale ipo hivyo. Unasemaje hapo?
Yeah.. There is always a come back.. Kuna roho zimelala kule bado zinatafuta kisasi
 
Mkuu, asante kwa mtazamo wako wa kiroho.

Pia kuna mtazamo wa kishirikina. Watu wawili wamepoteza maisha, mmoja ana sifa ya ukorofi, majivuno na ubabe, na mwingine mmpole, mstaarabu na asiyependa makuu.

Nina mashaka mmiliki alizidisha manjonjo wakati anaizindua Baa kivingine "NEW ...." Tusubiri kushuhudia wateja wakiongezeka kwenye hiyo baa.

Ni mtazamo wangu tu
Sahihi kabisa komrade si ajabu nyuma ya pazia kafara la damu lilihitajika sana hapo na limepatikana tayari
 
Brother hii sio poa bwana, yani watu walewe wauane wewe uje uhusishe na ushirikina kweli?

Itafika mahali sasa hata ukipaliwa na maji utasema ni ushirikina... Penye wengi pana mengi.
Uwingi wa watu duniani lazima kuwe na matukio ya tofautitofauti ya vurugu, furaha na mengine mengi
Brother yupo pouwa kabisa.
Mimi nimemuelewa vizuri, wewe bado..
Hajasema kwamba tukio Hilo limesababishwa na ushirikiano, Bali , baada ya tukio Hilo, ile silaha iloyotumika ni dili, kishirikina. Tena amejaribu kutoa mfano jinsi ambavyo thamani ya silaha iliyowahi kuua Ni kubwa kuliko ile isiyoua bado.
Sasa haya matabaka ya thamani ya hizi silaha hayawezi kuwepo pasipo kuwepo na wazo la kishirikina.
Ndiyo maana kasema hiyo silaha itatafutwa kwa udi na uvumba , yote ni kwa sababu za kishirikina ambazo zinaamini kuwa thamani yasilaha hiyo ipo juu..
 
Hizi nong'ono kitaani ya kuwa mziba pancha alikuwa anaziba pancha ya my wife wa jamaa lina ukweli ndugu mchambuzi?...hebu liangalie katika vyombo vyako.
Kila kifo huja na mengi..huwa na mengi... Ni kati ya hayo mengine yote moja tu huwa la hakika
 
Brother yupo pouwa kabisa.
Mimi nimemuelewa vizuri, wewe bado..
Hajasema kwamba tukio Hilo limesababishwa na ushirikiano, Bali , baada ya tukio Hilo, ile silaha iloyotumika ni dili, kishirikina. Tena amejaribu kutoa mfano jinsi ambavyo thamani ya silaha iliyowahi kuua Ni kubwa kuliko ile isiyoua bado.
Sasa haya matabaka ya thamani ya hizi silaha hayawezi kuwepo pasipo kuwepo na wazo la kishirikina.
Ndiyo maana kasema hiyo silaha itatafutwa kwa udi na uvumba , yote ni kwa sababu za kishirikina ambazo zinaamini kuwa thamani yasilaha hiyo ipo juu..
[emoji736][emoji817][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Back
Top Bottom