Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
milele aminaUmenikumbusha mbali sana mkuu Nyama yake nlikula kwa Marehemu mama yangu Mdgo nkiwa darasa la tano.Ambapo nakumbuka alituandalia hyo nyama tukaila kwa jinsi ilivyoungwa ilikua no tamu hatari[emoji23][emoji23]utadhan kuku makange ya Broiler tulivyomaliza ndo akatuambia na mimi nikakiri n mtamu kuliko kuku,sababu nlikua napenda sana kuku.Basi Ma Mdogo akanipa kuku wawili niliwafuga wale kuku mpka sasa hivi nina kuku 350 wa kienyeji nko chuo tangu std 5[emoji16][emoji16][emoji16].Mtu akiongea bata namkumbuka marehem Ma Mdgo wangu Mungu ampe pumziko la milele
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Bata au popo [emoji32]Bata muandae leo alafu mpake viungo kama tangawizi, limao, kitunguu swaumu, chumvi then muoke kwenye mkaa wa wastani!!! Alafu njoo umle kesho,, mbona utaenjoy! Hivi ninavyoongea ndio naroast bata wangu wa jana [emoji39]View attachment 1441565
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi kuna mashine ya kuoka nyama?Bata muandae leo alafu mpake viungo kama tangawizi, limao, kitunguu swaumu, chumvi then muoke kwenye mkaa wa wastani!!! Alafu njoo umle kesho,, mbona utaenjoy! Hivi ninavyoongea ndio naroast bata wangu wa jana [emoji39]View attachment 1441565
Sent using Jamii Forums mobile app
brown rice ndo nini?Nilikuwa sijawahi Kula Bata....mpaka 2013 Time naenda kumwona mama Yangu after 16 years separation...Mkoani singida wana utamaduni kuwa ukitembelea Wajomba ,mam wakubwa babu na bibi lazima upewe kuku ,Bata au mbuzi...Uchinjiwe ....Kupunguza urefu ea stori nilienda kea mjomba Wilayani iramba as alikuwa afisa Kilimo na mifugo Nikapelekwa shambani nichague Mnyama was kuchinjiwa....as nishakula Ng'ombe,mbuzi kuku,kondoo Nikachagua Bata mmoja mkubwa sana....Mjomba alicheka na kuniambia huyo siyo mtamu ....Akanichagulia ambae Amekaribia kutaga .....Alimwandaa mwenyewe ...alimkaanga alimtia Viungo Kama vyote kiufupi Alimwandaa vizuri...aseh Na nilimla na brown Rice
mwemwemwemwee Bata mtamu ase akipata Mtu anaejua namna ya kumuandaa...
Kuna vimashine vya kufanya hivyo.nitatafutamda akimaanisha kumkausha na moto aka kubanika
hawa ni wakisasa?Hawa ni wazuri sana nyama laini na hawana shombo kabisa.View attachment 1446631
Sent using Jamii Forums mobile app
ufugaji wao ni tofauti na hawa wa kienyeji??Hawa ni wazuri sana nyama laini na hawana shombo kabisa.View attachment 1446631
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ni tofauti,lakini aina hii ya bata ata wale wakienyeji wanazaliwa weupe tupu inategemea na batajike akiwa mweupe na vifaranga watatoka weupe km mm yao na midomo huwa ya njano,bata mweusi midomo huwa nyeusi,,... Lakini ukienda ziwa Eyasi Arusha hao bata pichani ni wengiii atari watamu sana lakini hawafugwi wanaishi ziwani chakula chao kikuu ni samaki, batamaji nikama hao unavyoona pichani
Bata ni moja ya ndege ambaye hakuruhusiwa kuliwa na M/Mungu! Ni najisi kwenu.Labda ni tofauti,lakini aina hii ya bata ata wale wakienyeji wanazaliwa weupe tupu inategemea na batajike akiwa mweupe na vifaranga watatoka weupe km mm yao na midomo huwa ya njano,bata mweusi midomo huwa nyeusi,,... Lakini ukienda ziwa Eyasi Arusha hao bata pichani ni wengiii atari watamu sana lakini hawafugwi wanaishi ziwani chakula chao kikuu ni samaki, batamaji nikama hao unavyoona pichani
Mambo ya Walawi 11 na kuendelea.mkuu ushahidi wa maandiko tafadhali
inabidi umuwekee viungo gani? kwa nini maandalizi yake ni muda mrefu?unapotaka kula bata utulivu lazima na mda unatumia mwingi uyo unamtupia dada wakazi ashughulike ww msubili mezani akiwa tayari kwakuliwa ili harufu isikukifu
Hivi kuna watu hawajawahi kula nyama bata Tz hapaSijawahi kuonja nyama yake duuh!! Ngoja nitaisaka.