Bata ni mchafu lakini ni mtamu sana kuliko kuku

Bata ni mchafu lakini ni mtamu sana kuliko kuku

Umenikumbusha mbali sana mkuu Nyama yake nlikula kwa Marehemu mama yangu Mdgo nkiwa darasa la tano.Ambapo nakumbuka alituandalia hyo nyama tukaila kwa jinsi ilivyoungwa ilikua no tamu hatari[emoji23][emoji23]utadhan kuku makange ya Broiler tulivyomaliza ndo akatuambia na mimi nikakiri n mtamu kuliko kuku,sababu nlikua napenda sana kuku.Basi Ma Mdogo akanipa kuku wawili niliwafuga wale kuku mpka sasa hivi nina kuku 350 wa kienyeji nko chuo tangu std 5[emoji16][emoji16][emoji16].Mtu akiongea bata namkumbuka marehem Ma Mdgo wangu Mungu ampe pumziko la milele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu Nyama yake nlikula kwa Marehemu mama yangu Mdgo nkiwa darasa la tano.Ambapo nakumbuka alituandalia hyo nyama tukaila kwa jinsi ilivyoungwa ilikua no tamu hatari[emoji23][emoji23]utadhan kuku makange ya Broiler tulivyomaliza ndo akatuambia na mimi nikakiri n mtamu kuliko kuku,sababu nlikua napenda sana kuku.Basi Ma Mdogo akanipa kuku wawili niliwafuga wale kuku mpka sasa hivi nina kuku 350 wa kienyeji nko chuo tangu std 5[emoji16][emoji16][emoji16].Mtu akiongea bata namkumbuka marehem Ma Mdgo wangu Mungu ampe pumziko la milele

Sent using Jamii Forums mobile app
milele amina
 
Nilikuwa sijawahi Kula Bata....mpaka 2013 Time naenda kumwona mama Yangu after 16 years separation...Mkoani singida wana utamaduni kuwa ukitembelea Wajomba ,mam wakubwa babu na bibi lazima upewe kuku ,Bata au mbuzi...Uchinjiwe ....Kupunguza urefu ea stori nilienda kea mjomba Wilayani iramba as alikuwa afisa Kilimo na mifugo Nikapelekwa shambani nichague Mnyama was kuchinjiwa....as nishakula Ng'ombe,mbuzi kuku,kondoo Nikachagua Bata mmoja mkubwa sana....Mjomba alicheka na kuniambia huyo siyo mtamu ....Akanichagulia ambae Amekaribia kutaga .....Alimwandaa mwenyewe ...alimkaanga alimtia Viungo Kama vyote kiufupi Alimwandaa vizuri...aseh Na nilimla na brown Rice
mwemwemwemwee Bata mtamu ase akipata Mtu anaejua namna ya kumuandaa...
brown rice ndo nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni tamu kweli shida yake ni kwenye maandalizi tu. Ana mambo mengi sana.
 
Hawa ni wazuri sana nyama laini na hawana shombo kabisa.
FB_IMG_1586971512530.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ufugaji wao ni tofauti na hawa wa kienyeji??

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ni tofauti,lakini aina hii ya bata ata wale wakienyeji wanazaliwa weupe tupu inategemea na batajike akiwa mweupe na vifaranga watatoka weupe km mm yao na midomo huwa ya njano,bata mweusi midomo huwa nyeusi,,... Lakini ukienda ziwa Eyasi Arusha hao bata pichani ni wengiii atari watamu sana lakini hawafugwi wanaishi ziwani chakula chao kikuu ni samaki, batamaji nikama hao unavyoona pichani
 
Labda ni tofauti,lakini aina hii ya bata ata wale wakienyeji wanazaliwa weupe tupu inategemea na batajike akiwa mweupe na vifaranga watatoka weupe km mm yao na midomo huwa ya njano,bata mweusi midomo huwa nyeusi,,... Lakini ukienda ziwa Eyasi Arusha hao bata pichani ni wengiii atari watamu sana lakini hawafugwi wanaishi ziwani chakula chao kikuu ni samaki, batamaji nikama hao unavyoona pichani
Bata ni moja ya ndege ambaye hakuruhusiwa kuliwa na M/Mungu! Ni najisi kwenu.
 
Back
Top Bottom