Kama hujaziona ni kumaanisha hazikushinda tuzo, unalazimisha wakuwe listed yet hawa kupata award?Sasa ukiwa na Awards ndio inaondoa fact ya kuwa Zanzibar ina more 5 star hotels than any other place in East and central Africa?
Sioni Hyatt na Four seasons Hotels! Singita lodges hazipo! The Mora Haipo! Na kama Diani ni the best beach destination mbona watalii wanaenda Zanzibar zaidi?
Ndio walivyokuambia au umeamua kujidanganya tu, kama kawaida yako?β¦Watali wengi wanaenda Zanzibar because itβs cheap.
Sasa ukiona mtu analinganisha kisanii kidogo kama Marioo kwa Bien alafu bado ananiona unreasonable kwa kutokubaliana naye unaweza sema Nini? Mtu anasema Bien amepata tuzo juu ya Marioo when Bien started getting even bigger awards when Marioo was still in High School.π€£ π€£ π€£ you've decided not to entertain foolishness anymore.
Hakika mpo katika death mode. π π πSasa ukiona mtu analinganisha kisanii kidogo kama Marioo kwa Bien alafu bado ananiona unreasonable kwa kutokubaliana naye unaweza sema Nini? Mtu anasema Bien amepata tuzo juu ya Marioo when Bien started getting even bigger awards when Marioo was still in High School.
Bien has gotten
Grammy award - once
MTV awards twice
Channel O award twice and nominated thrice.
All Africa awards - twice and nominated once
BET awards - nominated
MTV Europe awards - once and nominated once
Hipipo awards - nominated
Nigeria awards - nominated
Kisima awards - once
Alafu unasema ameimba na Marioo ndio apate award - Marioo mwenyewe hii ndio first international award yake. Wimbo wenyewe Bien kamfunika vibaya (both in studio and performance) Hadi Watanzania wenzake wanasema hivo.
Wanasema Marioo anatrend Kenya wakati ni huo huo wimbo wake na Bien unaofanya atrend - Sasa nani kamsaidia mwengine?
Hata Marioo mwenyewe ukimuuliza atakuambia Bien ni Msanii mkubwa kumshinda tena kwa mbali sana.
Yani kubishana na Hawa jamaa ni shida ndio maana nimewaachia washinde.
Leading slums in africa ziko nchi gani pia?Ok, ebu tuambie the leading hotel in Africa is from where? Unapinga kila kitu wakati hakuna kitu huwa unajua.
Mnatumi Branding za kishamba sana π π you cannot brand you are artists kwa kuwatukana wasanii wengine. Brand you are artist in positive way. Na jamii itampokea kama ni mzuri. Msanii hajatoa hata Albamu hata moja mna mpatia sifa za Kijinga.Sasa ukiona mtu analinganisha kisanii kidogo kama Marioo kwa Bien alafu bado ananiona unreasonable kwa kutokubaliana naye unaweza sema Nini? Mtu anasema Bien amepata tuzo juu ya Marioo when Bien started getting even bigger awards when Marioo was still in High School.
Bien has gotten
Grammy award - once
MTV awards twice
Channel O award twice and nominated thrice.
All Africa awards - twice and nominated once
BET awards - nominated
MTV Europe awards - once and nominated once
Hipipo awards - nominated
Nigeria awards - nominated
Kisima awards - once
Alafu unasema ameimba na Marioo ndio apate award - Marioo mwenyewe hii ndio first international award yake. Wimbo wenyewe Bien kamfunika vibaya (both in studio and performance) Hadi Watanzania wenzake wanasema hivo.
Wanasema Marioo anatrend Kenya wakati ni huo huo wimbo wake na Bien unaofanya atrend - Sasa nani kamsaidia mwengine?
Hata Marioo mwenyewe ukimuuliza atakuambia Bien ni Msanii mkubwa kumshinda tena kwa mbali sana.
Yani kubishana na Hawa jamaa ni shida ndio maana nimewaachia washinde.
lini au ni ndoto za alinacha πππZitapungua
how comes unaweka malengo wakat bei iko pale pale mm hua nastaajabu sana kwa kweli ππππTena nyingi sanaa ilipaswa iwe japo 10k+
Mama ndio champion wa mission wewe subiria vizuri.lini au ni ndoto za alinacha πππ
πππππππππππππππMama ndio champion wa mission wewe subiria vizuri.
Harafu soma link umeambiwa Bajeti ijayo bei zitapungua
Mama Zenyu!πππππ nacheka lakini na kwetu yametaradadi kisawasawa
View: https://x.com/morarakebasosnr/status/1895167853692653734?s=46
Na wanalima MauaπMaua ya plastic sio?
tusiwacheke na kwetu yapo tena sana tu
Umekuaje siku hizi?tusiwacheke na kwetu yapo tena sana tu