Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa ukiwa na Awards ndio inaondoa fact ya kuwa Zanzibar ina more 5 star hotels than any other place in East and central Africa?

Sioni Hyatt na Four seasons Hotels! Singita lodges hazipo! The Mora Haipo! Na kama Diani ni the best beach destination mbona watalii wanaenda Zanzibar zaidi?
Kama hujaziona ni kumaanisha hazikushinda tuzo, unalazimisha wakuwe listed yet hawa kupata award?

Watali wengi wanaenda Zanzibar because it’s cheap.
 
🤣 🤣 🤣 you've decided not to entertain foolishness anymore.
Sasa ukiona mtu analinganisha kisanii kidogo kama Marioo kwa Bien alafu bado ananiona unreasonable kwa kutokubaliana naye unaweza sema Nini? Mtu anasema Bien amepata tuzo juu ya Marioo when Bien started getting even bigger awards when Marioo was still in High School.
Bien has gotten
Grammy award - once
MTV awards twice
Channel O award twice and nominated thrice.
All Africa awards - twice and nominated once
BET awards - nominated
MTV Europe awards - once and nominated once
Hipipo awards - nominated
Nigeria awards - nominated
Kisima awards - once

Alafu unasema ameimba na Marioo ndio apate award - Marioo mwenyewe hii ndio first international award yake. Wimbo wenyewe Bien kamfunika vibaya (both in studio and performance) Hadi Watanzania wenzake wanasema hivo.
Wanasema Marioo anatrend Kenya wakati ni huo huo wimbo wake na Bien unaofanya atrend - Sasa nani kamsaidia mwengine?

Hata Marioo mwenyewe ukimuuliza atakuambia Bien ni Msanii mkubwa kumshinda tena kwa mbali sana.

Yani kubishana na Hawa jamaa ni shida ndio maana nimewaachia washinde.
 
Sasa ukiona mtu analinganisha kisanii kidogo kama Marioo kwa Bien alafu bado ananiona unreasonable kwa kutokubaliana naye unaweza sema Nini? Mtu anasema Bien amepata tuzo juu ya Marioo when Bien started getting even bigger awards when Marioo was still in High School.
Bien has gotten
Grammy award - once
MTV awards twice
Channel O award twice and nominated thrice.
All Africa awards - twice and nominated once
BET awards - nominated
MTV Europe awards - once and nominated once
Hipipo awards - nominated
Nigeria awards - nominated
Kisima awards - once

Alafu unasema ameimba na Marioo ndio apate award - Marioo mwenyewe hii ndio first international award yake. Wimbo wenyewe Bien kamfunika vibaya (both in studio and performance) Hadi Watanzania wenzake wanasema hivo.
Wanasema Marioo anatrend Kenya wakati ni huo huo wimbo wake na Bien unaofanya atrend - Sasa nani kamsaidia mwengine?

Hata Marioo mwenyewe ukimuuliza atakuambia Bien ni Msanii mkubwa kumshinda tena kwa mbali sana.

Yani kubishana na Hawa jamaa ni shida ndio maana nimewaachia washinde.
Hakika mpo katika death mode. 😀 😀 😀
Bien ni msanii mdogo sana hata Ibraah ni mkubwa sana kwa huyo. Badala ya kumkuza msanii wenu mnamuua.
 
Sasa ukiona mtu analinganisha kisanii kidogo kama Marioo kwa Bien alafu bado ananiona unreasonable kwa kutokubaliana naye unaweza sema Nini? Mtu anasema Bien amepata tuzo juu ya Marioo when Bien started getting even bigger awards when Marioo was still in High School.
Bien has gotten
Grammy award - once
MTV awards twice
Channel O award twice and nominated thrice.
All Africa awards - twice and nominated once
BET awards - nominated
MTV Europe awards - once and nominated once
Hipipo awards - nominated
Nigeria awards - nominated
Kisima awards - once

Alafu unasema ameimba na Marioo ndio apate award - Marioo mwenyewe hii ndio first international award yake. Wimbo wenyewe Bien kamfunika vibaya (both in studio and performance) Hadi Watanzania wenzake wanasema hivo.
Wanasema Marioo anatrend Kenya wakati ni huo huo wimbo wake na Bien unaofanya atrend - Sasa nani kamsaidia mwengine?

Hata Marioo mwenyewe ukimuuliza atakuambia Bien ni Msanii mkubwa kumshinda tena kwa mbali sana.

Yani kubishana na Hawa jamaa ni shida ndio maana nimewaachia washinde.
Mnatumi Branding za kishamba sana 😀 😀 you cannot brand you are artists kwa kuwatukana wasanii wengine. Brand you are artist in positive way. Na jamii itampokea kama ni mzuri. Msanii hajatoa hata Albamu hata moja mna mpatia sifa za Kijinga.

Stupid kenyan
 
Tena nyingi sanaa ilipaswa iwe japo 10k+
how comes unaweka malengo wakat bei iko pale pale mm hua nastaajabu sana kwa kweli 😂😂😂😂

kuwapa baadhi ya wananchi mitungi bure sio solution kabisa, solution ni kuondoa kodi kwenye gas na umeme ushuke zaidi ya hapo hata majiko ya umeme yaondolewe kodi alaf uone watu hawatonunua na kutumia
 
Mama ndio champion wa mission wewe subiria vizuri.

Harafu soma link umeambiwa Bajeti ijayo bei zitapungua
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
juzi nilipita buguruni ilala ile barabara toka imebomolewa kujenga BRT leo ni mwaka wa tatu iko vile vile, endeleeni kudanganyana tu

pesa zimekopwa za kutosha na zimepigwa za kutosha 🙌🏻🙌🏻

kila budget wanasema hayo hayo nimekuuliza au uchaguzi umewadia ??
 
Back
Top Bottom