Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unakumbuka zile kilometer 2000 alizozindua kafulila alisema za PPP?
Yaani now ni ufala watumishi badala ya kufanya kazi wanawaza event za kusifia.

Ufala ni mwingi utekelezaji zero.

Wanasema Uchawa ulianzia kwa Mzee ila haukua na tija kama huu.

Yaani ule ulikua ukizingua umeenda no matter umechangia nini.

Wanamkumbuka Kangi Lugola na mifuko ya Bendera ya Tz na Song la Magufuli Jembe Jembe.

Kaliwa kichwa alipofeli majukumu.

Makonda walisema hagusiki kaliwa kichwa alivyojaribu kujiingiza uchaguzi na amekatazwa same na Mwanri.

Now kusifia kwanza utekelezaji zero.
 
In kwale a masterpiece of a housing project is taking shape. In no time all towns in Kenya will be bigger than Tanzanian cities
 
Wacha upumbavu Nimefanywa upanuzi! Mwanzo kilikuwa hakizalishi saruji bali clinker tu!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wacha nicheke tu umeelewa nilichoongea nimekwambia hichi kiwanda kipo toka 2020 kinafunguliwa kitu gani
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wacha nicheke tu umeelewa nilichoongea nimekwambia hichi kiwanda kipo toka 2020 kinafunguliwa kitu gani
Kilikuwa kinazalisha clinker tu saahii kinazalisha cement!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…