NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Kati yetu na nyinyi nani ameshindwa kulipa Kodi yake ya EAC?You can't handle your domestic bills unaongea ujinga.
Tokeni!
Kwani nyie mmelipa au mmejificha kama kawaida yenyu?πKati yetu na nyinyi nani ameshindwa kulipa Kodi yake ya EAC?
Machawa hawanaga akili yani kujenga transmission line wameshindwa wamekimbilia kununua umeme njee sasa huo umeme mwingi tunaozalisha tutamuuzia naniHao kenge wana matatizo sana.
Muda huo huo kuna umeme wameunganishia Kenya unatoka Tanzania.
Kwanini hawawazi kupanua Nyumba ya Mungu, Hale Dam?
Au kujenga Hydropower.
Maana ukiangalia Reservoir ya Nyumba ya Mungu ni.kubwa sana. Same kwa mtera.
Kuna watu akili.zimepinga.
Imagine kuna Mpango.wa kuuzia Zambia Umeme na wewe unadai kuna upotevu.
Si wajenge VITUO VYA.KUPOOZA UMEME sasa?
View attachment 3265841
kwahiyo sgr tannia kwa miezi nane imefanikiwa kubeba abiria sawa na asimia 13.9 ya abiria waliobebwa na nginja nginja kenya kwa muda wa miaka 7 na miezi 7
kwa hiyo baaada ya miaka 7 na miezi 7 itakuwa n wastani wa abiria 23,100,000/= ikiwa na ziada abiria 8.73mil ya wale wakenya na baada ya miaka 15 kuanzia sasa sgr tanzania itakuwa imesafirisha abiria 45mil huku sgr kenya ikiwa na abiria 42.36mil ikiwa ni miaka ni miaka 22 na miezi toka kuundwa kwakehuku tz ikiwa ni miaka 15 toka kuundwa kwake
Nyie hata project ya $150 hamna uwezo huo. Kila project ya kuanzia $100 ni loan. Mishahara shida, chakula shida.Kati yetu na nyinyi nani ameshindwa kulipa Kodi yake ya EAC?
Kenya affordable housing project cost is bigger than the cost of all projects going on in Tanzania and guess what? Affordable housing is done by Tax payers money.Nyie hata project ya $150 hamna uwezo huo. Kila project ya kuanzia $100 ni loan. Mishahara shida, chakula shida.
Huyu mwana analia, anacheka?
Ana huzuni, amefurahi ama ni tabasamu?
View: https://x.com/alloysmayaka/status/1898663136921633131
Imagine βpolice stationβ ya huyo Kijana iko na Probox as police car, polisi wa Tanzania wanatumia pia Probox, so in short Huyo kijana ako same level na polisi wa Tanzania in terms of facilities.yani miaka 3 iliopita jamaa anaendesha kituo cha polisi fake ππππ
View: https://x.com/bossyator/status/1899006044526801398?s=46
Just a bunch of useless words but the fact remains mkona deni ya EAC.Nyie hata project ya $150 hamna uwezo huo. Kila project ya kuanzia $100 ni loan. Mishahara shida, chakula shida.
Huyu mwana analia, anacheka?
Ana huzuni, amefurahi ama ni tabasamu?
View: https://x.com/alloysmayaka/status/1898663136921633131
huyo ni jambazi kama majambazi wengine mwehu wewe unajua ni kesi ngap za kukamata watu ovyo kazifanya in 3 good years, yani intelligent system ya nchi yenu ni poor kabisa ndio munajua leo baada ya miaka 3 wakat jamaa kashaibia watu pesa za kutosha πππππImagine βpolice stationβ ya huyo Kijana iko na Probox as police car, polisi wa Tanzania wanatumia pia Probox, so in short Huyo kijana ako same level na polisi wa Tanzania in terms of facilities.
Mimi sibishani na mwenye amekimbia nchi yake. Si urudi kwenu Yemen?huyo ni jambazi kama majambazi wengine mwehu wewe unajua ni kesi ngap za kukamata watu ovyo kazifanya in 3 good years, yani intelligent system ya nchi yenu ni poor kabisa ndio munajua leo baada ya miaka 3 wakat jamaa kashaibia watu pesa za kutosha πππππ