Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha! Man si ugoogle! Sawa kwa kusave time, nitawapa picha moja kwa kila hospitalWacha porojo mingi...weka picha.
Weee eti level 3 are you kidding me??the karen hospital nairobi ni level 3
Inaonekana huyu niyule anesimuliwa nayeye anasimulia. Ukweli utabaki pale pale pale kuwa Dar inaizidi KenyaBaba hata kwenu kubaya tu mimi nahisi ungesema chochote juu ya currently DAR ila naona umeponda mpaka basi, Nairobi imetutukana sana na DAR yetu leo inaenda zaidi ya Nairobi bado hujaona baba!!! Hivi kweli public transport yetu na Nairobi unalinganisha au hukuwahi kwenda Nairobi! Mmmmmmhh haya bhana ila kumbuka kwenu kwenu tu.
Have you been in Dar recently?Ukweli ni kwamba Dar bado itasubiri sana kwa Nairobi. Huo ndiyo ukweli. Mengine hapa ni ushabiki tu usio na maana. Dar tukaze buti sana kuifikia Nairobi
Kazini kwenyewe mbagala nyumbani mbagala mji ataujua je?Hizo bra bra hazina naface hapa. Kwani nani hajaishi Nairobi? Unadhani sisi hatuijui Nairobi?
Nimekwambia acha bra bra. Kama hujui kitu kaa kimya sisi tukuletee. Usijifanye mjuaji wakati hujui. Nimekwambi wewe leta references za Nairobi. Wewe unakuja na maneno ya siasa.
Je?
1. Nairobi kuna BRT?
2. Nairobi kuna Island?
3. Nairobi Kuna uwanja mkubwa wa Taifa?
4. Nairobi kuna fish market?
5. Nairobi kuna daraja kama la Nyerere?
6. Nairobi kuna beaches?
7. Vipi kuhusu hotel za Nairobi na za Dar?
Wewe unakuja na bra bra hapa. Tatizo huna exposure. Umetokea porini na kwenda Nairobi. Sasa umerudi dar na huja wahi hata kutembea zaidi ya kwenda kazini na kurudi nyumbani kwako.
thanks for showing up my beautiful girl ...was just thinking about you.Hahaha..........Bado hii inaendelea??? Good evening guys....
Yea Dar Es Salaam Hakuna level 5Umekubali kwamba hakuna level 5?
Hivi ndio maana huwa tanasema mnabore! Mkishachaapwa mnaanza vijimambo! Unataka sasa tuanze kupingana kama ni level five! I told you a simple thing! Orodhesha 20 bora za Dar! Orodhesha hapa sasa na uache vijimambo umeanza!Umekubali kwamba hakuna level 5?