Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo ni za level 5 na niza kitambo, sijaweka under construction! Halafu unataka niweke picha ya vitu nyingi hivyo?
KNH ni level 3 mbona umeiweka sasa. Vipi unataka mwenzako wewe hujaweka? Acha kudanganya sawa?
 
Weee eti level 3 are you kidding me??
Check hapa
KY.png
 
Baba hata kwenu kubaya tu mimi nahisi ungesema chochote juu ya currently DAR ila naona umeponda mpaka basi, Nairobi imetutukana sana na DAR yetu leo inaenda zaidi ya Nairobi bado hujaona baba!!! Hivi kweli public transport yetu na Nairobi unalinganisha au hukuwahi kwenda Nairobi! Mmmmmmhh haya bhana ila kumbuka kwenu kwenu tu.
Inaonekana huyu niyule anesimuliwa nayeye anasimulia. Ukweli utabaki pale pale pale kuwa Dar inaizidi Kenya
 
Njoo basi na ngonjera zingine hapa tunaenda na Facts. Hatutaki uongo.
 
Ukweli ni kwamba Dar bado itasubiri sana kwa Nairobi. Huo ndiyo ukweli. Mengine hapa ni ushabiki tu usio na maana. Dar tukaze buti sana kuifikia Nairobi
Have you been in Dar recently?
 
Hahaha..........Bado hii inaendelea??? Good evening guys....
 
Hahaha..........Bado hii inaendelea??? Good evening guys....
Mwenzako kakurupuka hapa. Katoka nduki. Sasa hivi amejificha alijaribu kutudanganya.
 
Hizo bra bra hazina naface hapa. Kwani nani hajaishi Nairobi? Unadhani sisi hatuijui Nairobi?
Nimekwambia acha bra bra. Kama hujui kitu kaa kimya sisi tukuletee. Usijifanye mjuaji wakati hujui. Nimekwambi wewe leta references za Nairobi. Wewe unakuja na maneno ya siasa.
Je?
1. Nairobi kuna BRT?
2. Nairobi kuna Island?
3. Nairobi Kuna uwanja mkubwa wa Taifa?
4. Nairobi kuna fish market?
5. Nairobi kuna daraja kama la Nyerere?
6. Nairobi kuna beaches?
7. Vipi kuhusu hotel za Nairobi na za Dar?

Wewe unakuja na bra bra hapa. Tatizo huna exposure. Umetokea porini na kwenda Nairobi. Sasa umerudi dar na huja wahi hata kutembea zaidi ya kwenda kazini na kurudi nyumbani kwako.
Kazini kwenyewe mbagala nyumbani mbagala mji ataujua je?
 
Wacha nianze
KNH
administration-1038x442.png


Nairobi west
1_NairobiHospital_Kenya_main.jpeg


Agha Khan

5.jpg


22666204399_bc7a851600_b.jpg


The Mater Hospital
DSC_0515-642x300.jpg


Mama Lucy Hospital
mama-lucy-kibaki-hospital.jpg

KDF Hospital

Defence-Forces-Memorial.jpg


Gertrudes
koma2.jpg


The Karen

5844263605_d3cdd2545e_b.jpg


Nairobi west
16445320840_3849f6937c_b.jpg
 
Sali International Hospital Dar es salaam
2016-04-26.jpg
rad.JPG
rad1.JPG
rad2.JPG
saliii.JPG
WP_20150923_016.jpg
WP_20150923_025.jpg
2016-04-26.jpg
rad.JPG
rad1.JPG
 
Umekubali kwamba hakuna level 5?
Hivi ndio maana huwa tanasema mnabore! Mkishachaapwa mnaanza vijimambo! Unataka sasa tuanze kupingana kama ni level five! I told you a simple thing! Orodhesha 20 bora za Dar! Orodhesha hapa sasa na uache vijimambo umeanza!
 
Back
Top Bottom