Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa wana siasa nyepesi sana.. Hivyo uwezo wao kujieleza na kuomba kuungwa mkono wanashindwa. Hoja zao ni dhaifu na nyepesi sana... Wamejifungia ndani kwao tu... Na wakitoka nje ni kuji weka level za Nchi za magharibi... Hawana touch na nchi za Afrika hapa kabisa.

Na walikuwa wana honga pesa nyingi hivyo kwa kipi hasa!? Ni biashara gani walitaka kwenda kufanya hapo kwenye kiti cha AUC!? Walikuwa na plan gani jinsi ya ku recover hizo gharama!? Bora wamepewa somo vizuri hapo...
Kiufupi Raila kama President AU ingekuwa disaster motions zote kuhusu suala la eastern DRC zingeminywa na Rwanda, Uganda na Kenya wangeendelea kuwa madalali ya uporaji kule DRC! Hata miradi ya SGR kwenda Kindu toka Burundi ingekuwa sabotaged! Sasa subiri uone mziki utakaochezwa dhini ya Kagame na M23!
 
Kiufupi Raila kama President AU ingekuwa disaster motions zote kuhusu suala la eastern DRC zingeminywa na Rwanda, Uganda na Kenya wangeendelea kuwa madalali ya uporaji kule DRC! Hata miradi ya SGR kwenda Kindu toka Burundi ingekuwa sabotaged! Sasa subiri uone mziki utakaochezwa dhini ya Kagame na M23!

Hawa kenge ni wazandiki sana. Ni virus hatari.

Wangetupiga bei kweupe tukiona.
 
Nyang'au wamebaki wanalia eti pesa ya Kenya imetumika vibaya kupiga kampeni ya AUC ha ha ha😎
Najua sahii mnashindwa jinsi ya kuweka loss ya Raila kama habari mbaya kwa sababu tayari wakenya majority walikwona kama traitor, tena mnashindwa kuweka ruto kwa hali mbaya kwa sababu wakenya wenyewe ndio wamewazidi kumharibia jina, na tukiwaambianga hatuko same mnaonanga kama ni hekaya za abunwasi😂
Kuongezea, hatuna chuki naye, bado heshima yake iko kwa yale mazuri aliyoyafanya
 
Najua sahii mnashindwa jinsi ya kuweka loss ya Raila kama habari mbaya kwa sababu tayari wakenya majority walikwona kama traitor, tena mnashindwa kuweka ruto kwa hali mbaya kwa sababu wakenya wenyewe ndio wamewazidi kumharibia jina, na tukiwaambianga hatuko same mnaonanga kama ni hekaya za abunwasi😂
Kuongezea, hatuna chuki naye, bado heshima yake iko kwa yale mazuri aliyoyafanya
Wakenya wanasherekea loss ya Raila kuwaliko hadi wameshindwa vile wataanza kutucheka😂😂
 
Najua sahii mnashindwa jinsi ya kuweka loss ya Raila kama habari mbaya kwa sababu tayari wakenya majority walikwona kama traitor, tena mnashindwa kuweka ruto kwa hali mbaya kwa sababu wakenya wenyewe ndio wamewazidi kumharibia jina, na tukiwaambianga hatuko same mnaonanga kama ni hekaya za abunwasi😂
Kuongezea, hatuna chuki naye, bado heshima yake iko kwa yale mazuri aliyoyafanya
Mbona unalia lia wewe nyang'au😁😁
 
Hii ndio metropolis? 😂😂😂😂😂😂😂
That's Nairobi National Park. Wacha kujitoa ufahamu. And yes, it's in Nairobi.

And talking of Nairobi metropolis, have a look at these and tell me if you have anything close to these areas in Dar and it's environs

1. Ruaka
images - 2025-02-15T223602.485.jpeg
images - 2025-02-15T223451.112.jpeg
images - 2025-02-15T223433.073.jpeg
images - 2025-02-15T223404.604.jpeg


2. Ruiru

images - 2025-02-15T225812.916.jpeg
images - 2025-02-15T225734.432.jpeg
GebygYiWsAAQb8z.jpg


Kiserian (25km) from Nairobi cbd
images - 2025-02-15T230739.888.jpeg
images - 2025-02-15T230550.907.jpeg


Rongai, 26 kms from Nairobi cbd
images - 2025-02-15T232045.386.jpeg
images - 2025-02-15T231847.153.jpeg


Athi River, 29kms from cbd
images - 2025-02-15T233324.063.jpeg
images - 2025-02-15T233129.316.jpeg
images - 2025-02-15T233112.445.jpeg
images - 2025-02-15T232713.489.jpeg
images - 2025-02-15T233058.987.jpeg
images - 2025-02-15T232620.670.jpeg
images - 2025-02-15T232555.468.jpeg
images - 2025-02-15T232351.106.jpeg


Ngong
images - 2025-02-15T233942.406.jpeg
images - 2025-02-15T234403.127.jpeg
NGONG BLOG.jpg


Juja, 33kms from Nairobi cbd
images - 2025-02-16T000229.241.jpeg
images - 2025-02-16T000156.358.jpeg
images - 2025-02-16T000132.600.jpeg
images - 2025-02-16T000040.051.jpeg
images - 2025-02-15T235415.913.jpeg
images - 2025-02-15T235226.722.jpeg
images - 2025-02-15T235155.315.jpeg


Now, this is what a metropolis is
 
Dar ukitoka beach area na downtown ( 5%) of the city , Kwingine kote ni shamba la mihogo au Uswaziland … no wonder Bongolalas wanachukia Nairobi sana …🤣🤣
 
Yemeni boy , I thought you update yourself with Kenya current events line by line ama umeamua kuwa selective opportunist…. Am sure you know Gen Z feel Raila sold them out and betrayed their course …so they were rooting for Djibouti… am sure you knew that ..😁
20250215_181727.jpg

Kabla hajashindwa mbona amkusema haya yote?
 
Back
Top Bottom