Sema mnapenda miterezo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hela tunazipenda sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema mnapenda miterezo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hela tunazipenda sana.
hahaaa " NN. huwa akijitapa _ watu wote " Mkia kimyaa"daaahh ila JF nyoko" watu wamenipotezea" yule ndugu yangu mwenye jina la dawa aiseeIla mmemuattack sana CCNP Engineer. huyu jamaa anajua kuvimba, hes an engineer anatakiwa vimbaa bana kusomea Engineering si mchezo acha atudharau vilaza sie!.
Najua tungekua na akili tungeshindana nae darasani n' namwambia keep up man!.. Angekua NN kajitapa hivi wote kimya, lile jamaa linajua kutisha!! 🙂..
Naona Kama umeandika kisegere nyuma mkuu? Sijaelewahahaaa " NN. huwa akijitapa _ watu wote " Mkia kimyaa"daaahh ila JF nyoko" watu wamenipotezea" yule ndugu yangu mwenye jina la dawa aisee
hahaa hizo codes mkuu" niliyemquote ameshaelewaNaona Kama umeandika kisegere nyuma mkuu? Sijaelewa
Basi Dimbwela inu kurushindi kunogela bila jasho hizo ni codes za kupandia ungo za mshana Jr. Ah ah ah ah ah ah ah ah ahhahaa hizo codes mkuu" niliyemquote ameshaelewa
kile kipigo alichotakiwa kupgwa mbwa koko kimemuangukia jamaaNiko nae hapa anajipanga
Anasema mpinzani wake ajipange mana anakuja na nondo za hatari
Wapenzi na mashabiki kindakindaki wa injinia wakae mkao wakula
hahaahaaa hapo umeniacha mkuuBasi Dimbwela inu kurushindi kunogela bila jasho hizo ni codes za kupandia ungo za mshana Jr. Ah ah ah ah ah ah ah ah ah
Anhaaa kumbe aiseeHawa walianzia battle yao kwenye magroup yao ya Forex huko TMT wakabiringishana hadi humu JF na promota akaona wanachafua nyuzi za wengine kwa kupeana masingi ndio akaandaa hili pambano akiwa na Msami production, Clouds Media, Mariedo classic e.t.c . Hadi mmoja alipopigwa pigo takatifu juzi akakimbia hadi leo hajaonekana. Ah ah ah ah ah ah ah inachekesha.
Nimezeeka mkuuMkuu mhivi umechelewa hivi
akipata masikio atapunguza kutukana!.Jamaa ananiachaga hoi sana.
Ana matusii sometimes
Nani huyo!?..hahaaa " NN. huwa akijitapa _ watu wote " Mkia kimyaa"daaahh ila JF nyoko" watu wamenipotezea" yule ndugu yangu mwenye jina la dawa aisee
kwani huna?Ngoja nitafute walahi
Ndugu umekuwa uyoga life span ya days tu?kwan mi nilikufahamu kama josethefirstNimezeeka mkuu
Haha,mzoom basi tumwone au screenshotJamaa anaonekana online but hana pa Ku comment dadeck