favourismyname
JF-Expert Member
- Jul 17, 2022
- 403
- 361
Mara yako ya mwisho lini kuwa Iringa?Ondoa iringa kwenye iyo list
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara yako ya mwisho lini kuwa Iringa?Ondoa iringa kwenye iyo list
Kwa factors zipUkitoa Dar,jiji la Arusha ndio inafata.
Kipindi cha Mwendazake aliipotezea sana Arusha,pamoja na covid uchumi wa Arusha ulizorota.
Mama anaufungua mji urudi kwenye hadhi yake.
[emoji1787] nashangaaHivi TANGA inaizidi nini Iringa za ziada hasa, labda bahari!
Songwe ni mkoa unaojitegeme,haiko ndani ya mbeya Tena!GDP ya Mbeya imebebwa na mkoa wa songwe wilaya ya Chunya.na tunduma ebu ikate Mbeya na songwe kwenye GDP uone
Ukubwa wa mji kwako ni nini? Eneo la ardhi au eneo la ardhi lilolojengwa? Maana tabora ni kubwa kuliko darHabari za mchana huu wapendwa, hope mko wazima na wenye afya tele., wagonjwa na wafiwa poleni sana, Mungu awape wepesi!!
Mada husika👇🏾
Wengi wetu tunatambua majiji makubwa in Tanzania ni mawili tu (Only two cities) 👉🏽 (Dar es salaam and Mwanza)
Swali!👇🏾
Kati ya Miji hii ifuatayo, ni mji upi unafuata baada ya (Mwanza and Dar)??
1.Mbeya
2.Dodoma
3.Arusha
4.Tanga
5.ringa
Nikisema mji upi maana yake ni (Kila kitu kilichomo katika mji husika) kwanzia ukubwa wa mji, kibiashara n.k!
Hapo kwa Iringa japo haijapewa hadhi ya kuitwa jiji, but nimeonelea naye nimpachike hapo kutokana na mji ulivyo, na hata mnaoishi mkoa huo, na mliowahi kufika huko mnajua na mtatuambia katika huu mjadala namna mji ulivyoendelea.
(1.Dar es salaam 2.Mwanza) These are another level, acha tuwaweke pending.
Matusi, dharau, kejeli n.k Hapana, anae ona mada hii inamkwaza apishe wengine.
Karibuni sana!
Kitombile
Mapank n.k
Covax
Umewahi kwenda Dom!? Arusha je?..dodoma kuifikia Arusha ni next 20yrsHuwa najua baada ya mwanza ni Arusha kwa kipindi kile sijui kwa Sasa ambapo Dodoma imejengeka na serikali kuhamia uko maybe ndo inayofata baada ya mwanza
Ukubwa wa mji kwako ni nini? Eneo la ardhi au eneo la ardhi lilolojengwa? Maana tabora ni kubwa kuliko dar
HakikaMbeya Isipowekewa miundombinu mizuri inazidi kuwa mbaya kila uchao
Kwa center ya mji Iringa pako vizuri japo padogo.Iringa bado kulinganisha na hiyo mikoa hiyo mingine kitu kipo sehemu moja
Sehemu inayolima mchele mbeya ni mbalali na kyela unataka kuniambia ndizo zinazoongoza kwa mapato?Acha kukurupuka bila ushahidi.fursa gn Mbeya tofauti na kilimo cha mchele