Battle: Kati ya Mbeya, Dodoma, Arusha, Tanga na Iringa

Ukitoa Dar,jiji la Arusha ndio inafata.
Kipindi cha Mwendazake aliipotezea sana Arusha,pamoja na covid uchumi wa Arusha ulizorota.
Mama anaufungua mji urudi kwenye hadhi yake.
Kwa factors zip
 
Ukubwa wa mji kwako ni nini? Eneo la ardhi au eneo la ardhi lilolojengwa? Maana tabora ni kubwa kuliko dar
 
Huwa najua baada ya mwanza ni Arusha kwa kipindi kile sijui kwa Sasa ambapo Dodoma imejengeka na serikali kuhamia uko maybe ndo inayofata baada ya mwanza
Umewahi kwenda Dom!? Arusha je?..dodoma kuifikia Arusha ni next 20yrs
 
Upo sahihi sasa kama wanauza supu 500Tsh na hauimalizi why kusiwe kuzuri
ANGALIZO:mtoa uzi anataka faraja najua mnawajua watu wa Iringa sasa nyie mpingeni akajitundike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…