Hivi hawa AFRIMMA wametumia vigezo gani labda. Hivi huyu bwana mdogo (Ommy Dimpoz) ni New comer kweli!???
Huyu si wa kitambo tangu enzi za Nai Nai!?
Labda wenzangu mnalionaje hili!?
Karibuni.
Wadau haswa die hard fans wa Chibu mnaombwa sana sana pigeni kura kategori sita anazogombea Diamond lakini kategori ya best male East Africa apigiwe King kiba
Umoja ni nguvu jamani King naye ajitoe kimaso maso angalau upande wapili wapata mori na king kiba
Nawasilisha
Ni kweli mkuu sehemu zote hizo zenye watanzania wenzetu tutawapigia kura kiroho safi kabisaaaa!lakini kwenye best male kila mtu atachukua njia yake!!!
Lakini hatari ninayoiona hapa ni kwamba huenda hiyo tuzo ya best male ikaenda kwa nchi zingine maana sisi tutakua tumegawanyika,labda kura zichukue asilimia 40% na majaji wachukue 60% katika kuamua mshindi otherwise tuzo hii itaenda nchi nyingine
Wadau haswa die hard fans wa Chibu mnaombwa sana sana pigeni kura kategori sita anazogombea Diamond lakini kategori ya best male East Africa apigiwe King kiba
Umoja ni nguvu jamani King naye ajitoe kimaso maso angalau upande wapili wapata mori na king kiba
Nawasilisha
Wadau haswa die hard fans wa Chibu mnaombwa sana sana pigeni kura kategori sita anazogombea Diamond lakini kategori ya best male East Africa apigiwe King kiba
Umoja ni nguvu jamani King naye ajitoe kimaso maso angalau upande wapili wapata mori na king kiba
Nawasilisha
Hapo kiba km yupo nitapga
Ipo hivii watu wanashindwa kuelewa
MSHINDI WA HIO TUZO NI DIAMOND kabla ya chochote kile
Kura hata tuunganike mashabiki wote wa chibu tumpe kiba hawezi kupewa ni matusi kwa waandaaji hawezi kmshinda mtu mwenye
....best video
....best africa(inamaana 10 walioçhaguliwa ambao hawapo ni zero huwezi waweka na hawa)
....best song
....best collable
bila kusahau
...best inspirational song
...best dance video
NI UTUMBO KUJIONA WANAWEZA KUPEWA HIYO TUZO SIO MAEMBE HAYO
Ipo hivii watu wanashindwa kuelewa
MSHINDI WA HIO TUZO NI DIAMOND kabla ya chochote kile
Kura hata tuunganike mashabiki wote wa chibu tumpe kiba hawezi kupewa ni matusi kwa waandaaji hawezi kmshinda mtu mwenye
....best video
....best africa(inamaana 10 walioçhaguliwa ambao hawapo ni zero huwezi waweka na hawa)
....best song
....best collable
bila kusahau
...best inspirational song
...best dance video
NI UTUMBO KUJIONA WANAWEZA KUPEWA HIYO TUZO SIO MAEMBE HAYO
Afu hata hivyo wanachukuliwa kama RUMBESA kujazia nominatin list coz wanaume wawili tu diamond na eddy kenzo wengine hakuna kitu.. mwaka jana walimpa peter msechu.. hata ivyo east africa wakali wachache kiasi kwamba isingekuwepo category hiyo wsngekuwa wanazipomda tuzo oooooh za TV haya sasa Tukisha zibeba tuzo zetu 4 utasikia oooh za magazeti hahahs
Asiyeweza kushukuru kwa kidogo hata kikubwa hatoweza kushukuru.7/1 ushindi tosha. Ningekua mm teamkiba hata nisingeongea kitu aibu
-Daaah!...ni kwa Mara nyingine tena wale manguli na mahasimu wa BONGOFLEVA nchini...yani ALIKIBA (Ali Saleh Kiba) na DIAMOND PLATNUMZ(Naseeb Abdul Juma) wamekutana kwenye TUZO ZA KIMATAIFA za AFRIMMA AWARDS, Najua teamondi hawaamini na ni ngumu kwao kukubali ila ndo ivyo tena jamaa(KIBA) ndo kashavuka mipaka ya TANZANIA nayeye...hivyo muache kejeli na dharau,Najua mwaka huu AFRIMMA watashangazwa na mvua ya KURA zitakazopigwa ambayo haijawai kutokea kabla na hasa zikitokea TZ na kama kwenye hizi TUZO wao wanapiga pesa basi ni wazi hawatosita kuwarudisha hawa jamaa tena mwakani kwenye kinyanganyiro hicho.
-Haya sasa kipenga kimeshalia "TEAMKIBA" na "TEAMMONDI"... Let's go!!!!!
CHANZO:http://afrimma.com/nominees-2015/
domo jipange,kiama chako kimefika