Hivi hawa AFRIMMA wametumia vigezo gani labda. Hivi huyu bwana mdogo (Ommy Dimpoz) ni New comer kweli!???
Huyu si wa kitambo tangu enzi za Nai Nai!?
Labda wenzangu mnalionaje hili!?
Karibuni.
mkuu ingekuwa ni East africa sawa.. lakini category yake ni afrika nzima huko ni mpya...
ULIJIULIZA KWANINI BEKA TITLE MWAKA HUU KTMA ALIKUWA NOMINATED KAMA MSANII ANAECHIPUKIA????? HAHAHAHAH
am soooo wandaaaz