Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Battle: Kwa mara nyingine tena wale mahasimu wawili wa Bongofleva nchini wamekutana AFRIMMA Awards

Hivi hawa AFRIMMA wametumia vigezo gani labda. Hivi huyu bwana mdogo (Ommy Dimpoz) ni New comer kweli!???
Huyu si wa kitambo tangu enzi za Nai Nai!?
Labda wenzangu mnalionaje hili!?
Karibuni.

mkuu ingekuwa ni East africa sawa.. lakini category yake ni afrika nzima huko ni mpya...

ULIJIULIZA KWANINI BEKA TITLE MWAKA HUU KTMA ALIKUWA NOMINATED KAMA MSANII ANAECHIPUKIA????? HAHAHAHAH

am soooo wandaaaz
 
Wadau haswa die hard fans wa Chibu mnaombwa sana sana pigeni kura kategori sita anazogombea Diamond lakini kategori ya best male East Africa apigiwe King kiba

Umoja ni nguvu jamani King naye ajitoe kimaso maso angalau upande wapili wapata mori na king kiba
Nawasilisha

Ipo hivii watu wanashindwa kuelewa

MSHINDI WA HIO TUZO NI DIAMOND kabla ya chochote kile

Kura hata tuunganike mashabiki wote wa chibu tumpe kiba hawezi kupewa ni matusi kwa waandaaji hawezi kmshinda mtu mwenye
....best video
....best africa(inamaana 10 walioçhaguliwa ambao hawapo ni zero huwezi waweka na hawa)
....best song
....best collable

bila kusahau
...best inspirational song
...best dance video

NI UTUMBO KUJIONA WANAWEZA KUPEWA HIYO TUZO SIO MAEMBE HAYO
 
Ni kweli mkuu sehemu zote hizo zenye watanzania wenzetu tutawapigia kura kiroho safi kabisaaaa!lakini kwenye best male kila mtu atachukua njia yake!!!

Lakini hatari ninayoiona hapa ni kwamba huenda hiyo tuzo ya best male ikaenda kwa nchi zingine maana sisi tutakua tumegawanyika,labda kura zichukue asilimia 40% na majaji wachukue 60% katika kuamua mshindi otherwise tuzo hii itaenda nchi nyingine

Ni kweli lakini mjue Naseeb tayari ana fans wengine wengi outside tanzania kwa sababu ameshatengeneza jina so ni kukubali tu na kuhamasishana katika haya mawili
1. Watu wampigie kura aly tena kwa bidii ya ajabu ili tuzo ije home

Au

2. Watu wampigie kura Naseeb na aly ili tukose

Ingawa pia kwa advantage Naseeb aliyonayo tukiwapigia wote plus fans wa nje anaweza kupata.
Lakini pia katika hizo category 7 alizoingia hawezi rudi mikono mitupu hilo ni tumaini tulilonalo la uhakika
 
duhhhhh these teams ngachoka.... instead of being proud kwamba angalau mmeingiza zaidi ya mtu mmoja wa tuzo mnaanza kugawanyika..... busara ingekua zaidi pale tuzo nyingi zaidi zingerudi nyumbani kama sio zote.
 
Wadau haswa die hard fans wa Chibu mnaombwa sana sana pigeni kura kategori sita anazogombea Diamond lakini kategori ya best male East Africa apigiwe King kiba

Umoja ni nguvu jamani King naye ajitoe kimaso maso angalau upande wapili wapata mori na king kiba
Nawasilisha

Ipo hivii watu wanashindwa kuelewa

MSHINDI WA HIO TUZO NI DIAMOND kabla ya chochote kile

Kura hata tuunganike mashabiki wote wa chibu tumpe kiba hawezi kupewa ni matusi kwa waandaaji hawezi kmshinda mtu mwenye
....best video
....best africa(inamaana 10 walioçhaguliwa ambao hawapo ni zero huwezi waweka na hawa)
....best song
....best collable

bila kusahau
...best inspirational song
...best dance video

NI UTUMBO KUJIONA WANAWEZA KUPEWA HIYO TUZO SIO MAEMBE HAYO

Afu hata hivyo wanachukuliwa kama RUMBESA kujazia nominatin list coz wanaume wawili tu diamond na eddy kenzo wengine hakuna kitu.. mwaka jana walimpa peter msechu.. hata ivyo east africa wakali wachache kiasi kwamba isingekuwepo category hiyo wsngekuwa wanazipomda tuzo oooooh za TV haya sasa Tukisha zibeba tuzo zetu 4 utasikia oooh za magazeti hahahs
 
Wadau haswa die hard fans wa Chibu mnaombwa sana sana pigeni kura kategori sita anazogombea Diamond lakini kategori ya best male East Africa apigiwe King kiba

Umoja ni nguvu jamani King naye ajitoe kimaso maso angalau upande wapili wapata mori na king kiba
Nawasilisha

Ipo hivii watu wanashindwa kuelewa

MSHINDI WA HIO TUZO NI DIAMOND kabla ya chochote kile

Kura hata tuunganike mashabiki wote wa chibu tumpe kiba hawezi kupewa ni matusi kwa waandaaji hawezi kmshinda mtu mwenye
....best video
....best africa(inamaana 10 walioçhaguliwa ambao hawapo ni zero huwezi waweka na hawa)
....best song
....best collable

bila kusahau
...best inspirational song
...best dance video

NI UTUMBO KUJIONA WANAWEZA KUPEWA HIYO TUZO SIO MAEMBE HAYO

Afu hata hivyo wanachukuliwa kama RUMBESA kujazia nominatin list coz wanaume wawili tu diamond na eddy kenzo wengine hakuna kitu.. mwaka jana walimpa peter msechu.. hata ivyo east africa wakali wachache kiasi kwamba isingekuwepo category hiyo wsngekuwa wanazipomda tuzo oooooh za TV haya sasa Tukisha zibeba tuzo zetu 4 utasikia oooh za magazeti hahahs
 
Kiba oyeeeee BEST MALE halina ubishiii.
Hahahaaaa walijivuna sana ooohh saizi ya kiba ni kill hahahaaaa hatareeeee lazma mlale mkiwa mmesimama....
Nyimbo mbili tuu zimewatoa jasho ivyo vipi akiweka na ya tatuu?
K 4 real
 
Ipo hivii watu wanashindwa kuelewa

MSHINDI WA HIO TUZO NI DIAMOND kabla ya chochote kile

Kura hata tuunganike mashabiki wote wa chibu tumpe kiba hawezi kupewa ni matusi kwa waandaaji hawezi kmshinda mtu mwenye
....best video
....best africa(inamaana 10 walioçhaguliwa ambao hawapo ni zero huwezi waweka na hawa)
....best song
....best collable

bila kusahau
...best inspirational song
...best dance video

NI UTUMBO KUJIONA WANAWEZA KUPEWA HIYO TUZO SIO MAEMBE HAYO

Vipi hajapewa kwenye best male? Hahahaaaaaa
 
Ipo hivii watu wanashindwa kuelewa

MSHINDI WA HIO TUZO NI DIAMOND kabla ya chochote kile

Kura hata tuunganike mashabiki wote wa chibu tumpe kiba hawezi kupewa ni matusi kwa waandaaji hawezi kmshinda mtu mwenye
....best video
....best africa(inamaana 10 walioçhaguliwa ambao hawapo ni zero huwezi waweka na hawa)
....best song
....best collable

bila kusahau
...best inspirational song
...best dance video

NI UTUMBO KUJIONA WANAWEZA KUPEWA HIYO TUZO SIO MAEMBE HAYO

Afu hata hivyo wanachukuliwa kama RUMBESA kujazia nominatin list coz wanaume wawili tu diamond na eddy kenzo wengine hakuna kitu.. mwaka jana walimpa peter msechu.. hata ivyo east africa wakali wachache kiasi kwamba isingekuwepo category hiyo wsngekuwa wanazipomda tuzo oooooh za TV haya sasa Tukisha zibeba tuzo zetu 4 utasikia oooh za magazeti hahahs

Na wengine wanasema KTMA ni tuzo za walevi zinazoandaliwa na pombe.
Hii yote inatokana na uelewa mdogo na shule dhaifu. Tuzo lazima ziandaliwe na kundi fulani kama waandishi, vituo vya TV n.k. kitu cha muhimu ni mantiki ya hiyo tuzo.
 
hahahahaha... Eti after cooling. Wape wape, wanyookee.

Wapi cute b "! Kama namuona vile.

Nipo hapa system inasumbua lol.
Msimu huu nitakuwa mzalendo...
Nitavote for kiba and domo and baba wanjee and vannesa.(wanafiki wanafinyanaaa hahahaaa hatareeee)
 
Last edited by a moderator:
-Daaah!...ni kwa Mara nyingine tena wale manguli na mahasimu wa BONGOFLEVA nchini...yani ALIKIBA (Ali Saleh Kiba) na DIAMOND PLATNUMZ(Naseeb Abdul Juma) wamekutana kwenye TUZO ZA KIMATAIFA za AFRIMMA AWARDS, Najua teamondi hawaamini na ni ngumu kwao kukubali ila ndo ivyo tena jamaa(KIBA) ndo kashavuka mipaka ya TANZANIA nayeye...hivyo muache kejeli na dharau,Najua mwaka huu AFRIMMA watashangazwa na mvua ya KURA zitakazopigwa ambayo haijawai kutokea kabla na hasa zikitokea TZ na kama kwenye hizi TUZO wao wanapiga pesa basi ni wazi hawatosita kuwarudisha hawa jamaa tena mwakani kwenye kinyanganyiro hicho.

-Haya sasa kipenga kimeshalia "TEAMKIBA" na "TEAMMONDI"... Let's go!!!!!


CHANZO:http://afrimma.com/nominees-2015/

Kama umeona mtv basi hapa huta tumia nguvu sanaaa kuumiza kichwa ni nani anachukuwa..mtu anawezaje kuchaguliwa mara sita afu ashindwe kuitetea tuzo ambayo anamiliki nyumbani kwake so hiyo mwenyew anajulikan
 
in the presence of davido n wizkid domo has no chance to win labda wajiuzulu hahaa
 
Back
Top Bottom