Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🀣🀣
Akili imeganda, comment Ile ile tangu mchana. Bangi nibangue
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🀣🀣
 
Akili imeganda, comment Ile ile tangu mchana. Bangi nibangue
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🀣🀣
 
Game over wazee wa rocky city tumemaliza kazi naona Kuna mmoja ana dalili za mtindio wa ubongo, tangu mchana anakomenti kitu kile kile
 
Jamaaa kaweka auto reply kasepa [emoji3][emoji3] mwana It wa mchongo
 
Bongo unasoma IT sijui computer science [emoji3][emoji3] utaishia kufanya vibarua tu
 
Hujui maana yake ndio maana umekurupuka
Sijui maana yake? unabisha sasa, Mwanza tunazo kila mtaa na kila mahali, magari kupark juu na chini unaona ajabu sana, karibu Mwanza tukutoe tongotongo.
 
Hao ni wabunge wa sangoma akikiuka masharti tu kwa heri
 
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuingilia battle asizoziweza hapa JF na kuset auto-reply ili kuirudia pumba ileile aliyoandika tangu mchana. Zima data ukalale[emoji1784][emoji1784]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…