Ushamaliza kila kitu,mwache asome kimya kimya ajifunze,pengine hakuwa hata anajua trunk roads maana yake nini.Hizo bold nyeusi ndio trunk roads
Dar Hadi kiluvya ni km 32
Dar Hadi bunju ni km 37
Dar Hadi kongowe ni km 16
JUMLA =KM 75
acha ushwahili kijana View attachment 2525600View attachment 2525601
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapa nani kaelemewa? Chukua hata za Moshi ziweke Arusha ukimaliza tunakusubiri kwenye uzuri wa jiji la Mwanza vs Arusha [emoji3][emoji3]Battle ni mwanza vs arusha
Mnapoleta gdp hapa hua mnaleta gdp za mwanza sio city Council, tatizo mkoshaona overall mnalemewa mnaaza kulia maayo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hili hapa vumbi lenyewe na kiharufu flan kinakera.Huo mkoa bado sana...yaan 29% ndo barabara za lami zilizobaki ni vumbi kwenda mbele[emoji28]..Na lile vumbi la Arusha sasa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hili hapa vumbi lenyewe na kiharufu flan kinakera.View attachment 2525735
Jamaa ,, kuelewa ni mgumu ,,kabanwa mkia amebaki kutapa tapa [emoji28][emoji28][emoji28]Baada ya hapo aje kwa mkoa wa Pwani na kigoma ya sasa hivi akitoka hapo Dodoma si anataka total za barabara zenye lami including trunk road.
Magufuli jitu baya mbona Mungu aliliondoshaMagufuli mungu amlaze mahali pema peponi, aliwanyoosha hawa washenzi.
Unajidanganya, itajengwa dualcarriage way from Tengeru all the way hadi Holili...ni dualcarriage way ndefu itakayounganisha Arusha na Kilimanjaro hadi mpakani Rombo...Hasa huyo msuya ndio alikuwa fala sana alipeleka umeme adi kwenye migomba, barabara adi kwenye vichochoro, huyo msuya alikuwa mbaguzi sana, pili mkapa alipeleka maendeleo sana huko kaskazini kuliko sehemu yoyote kwa nguvu ya mke wake kwasababu alikuwa mchaga, walikuwa wamezoea maendeleo ya mbeleko akaja jemedari akasema kila sehemu inastahili kupata maendeleo ikawa tabu kwao na kuanza kumchukia magufuli, uzuri Rais Samia amesha wajua hao watu naye amewakatia mirija ya mbeleko.
Hao wasukuma😂watoto wazuri,
Mtu aondoke Geneva of Africa halafu aende shamba city halafu asirudi hahaha😂🤣🤣Huu ndo ulimbukeni sasa, ongelea vitu vyenye ushawishi. Kwamba Mwanza Haina watoto wa Arusha wasitaka kurudi kwao?. Kila baa utawakuta halafu bishana kwa akili hatuendi hivyo
Bar maid na makahaba wengi huku Chuggastan wanatokea kanda ya ziwa.Bar maid wengi wa Tabora wanatokea Chugga
Mmekua watu wa mdomo sana,hamna takwimu ama picha inasikitisha sanaSasa hapa nani kaelemewa? Chukua hata za Moshi ziweke Arusha ukimaliza tunakusubiri kwenye uzuri wa jiji la Mwanza vs Arusha [emoji3][emoji3]
arusha halafu usiwe na hela. Wasukuma wakija huku hawarudi tenaWe mpuuzi na hio infinix uliyohongwa na shemeji yako[emoji3][emoji3]
Hauna hela
Wao wanashindana na sisi wakati sisi tunashindana kimataifa. Hahaha sisi hatunaga mbambamba,wakituma picha wanatuma picha za samaki 🤣🤣🤣Hayo meno ya rangi sio kuoza. Pia shinyanga na mwanza kuna wasukuma kibao nao wanarangi kwenye meno
Maghorofa mwanza ni issue. Ndio wameanza kuyaona juzijuzi tu. Unategemea nini? Niliwapa list ya maghorofa marefu Tanzania, Mwanza hakuna ata moja. Mwanza ni malimbukeni ndio maana wanajishindanisha na Arusha, huwezi kuta watu wa ARUSHA wanahangaika kujilinganisha na mwanza, hawapo insecure.
Bora anaetoka Mwanza Kwenda Arusha kuliko anaetoka Arusha kwenda TaboraBar maid na makahaba wengi huku Chuggastan wanatokea kanda ya ziwa.
Kinara ni mwanza.
Asee kwaiyo picha kwako ndio udhibitisho unaotaka..yani huku wazungu ni kama kwao, western culture yani Chugga kama mbele vile. Tokeni kidogo muje kutembea wasukuma hawarudi kwao kabisaNdio nataka picha
Sisi jadi yetu ni kutafuta hela hatutegemei uvuvi wa dagaa ndio tuishi. Kaskazini tuko kila kona ya nchi hiiBora anaetoka Mwanza Kwenda Arusha kuliko anaetoka Arusha kwenda Tabora
Sasa shamba city munaleta mapicha sa vivuko kwani sisi tuna lake 🤣🤣🤣🤣[emoji95][emoji95][emoji95] dozi ya motoView attachment 2524088
Sisi jadi yetu ni kutafuta hela hatutegemei uvuvi wa dagaa ndio tuishi. Kaskazini tuko kila kona ya nchi hii