OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
hao ni wachuuzi wadogo wadogo wana maisha mazuri kuliko wavuvi wa pale mwanza ambapo dagaa hizo ndio zinatoka.
Mimi nipo Arusha, hakuna ambacho sijui. Njoo Sinoni uone hayo maisha. Kima wewehao ni wachuuzi wadogo wadogo wana maisha mazuri kuliko wavuvi wa pale mwanza ambapo dagaa hizo ndio zinatoka.
Kama ni slam ziko kila mahali hata kibera kenya ndio maana takwimu zinaonesha mwanza ni masikini na top ten ipo. Wewe ni mmojawapo wa wasukuma waliogoma kurudi kwao kwa sababu ya uzuri wa Chugga.Mimi nipo Arusha, hakuna ambacho sijui. Njoo Sinoni uone hayo maisha. Kima wewe
Iyo stand ipo kwa muda tu siku siyo nyingi litashushwa bonge la stendπ π π π π π Thithiiii tunatokea Arushaaaa
Kipindi cha mvua tope lake, Kwa Mpalange wakasomeee. Kama huna gari ni mateso bila chuki.
Hyo mipango sio kitu Cha kushangaza ..Kwa sababu hata mwanza itajengwa dual carriage ya kutoka Usagara Hadi geita km 50,,,na kutoka town Hadi njia panda ya kuelekea kahama km 55 .Unajidanganya, itajengwa dualcarriage way from Tengeru all the way hadi Holili...ni dualcarriage way ndefu itakayounganisha Arusha na Kilimanjaro hadi mpakani Rombo...
Bila kusahau barabara za miji, kuna barabara ya kuunganisha wilaya ya siha na rombo nayo inakuja...
Kwa kifupi serikali hua haikosei kujenga sshemu ambazo wanaokota kodi hua wanajua wanachofanya
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Njooni kwa picha na proposals zingine mtaachia wenyewe.Hakuna mahali kama A Town shamba city munapaniki nini na hapo bado hatujatuma mapicha za mamiradi za mabilion yanayoendelea.
Bado tuna reli za kwenye maji. Mv. Umoja - TZ . Mv. Uhuru 1 & 2 - KE, Mv. Kahwa, Mv. Pamba - UG na tunategemea kuongezewa reli nyingine ya kwenye maji na serikali ya SSH.Hyo mipango sio kitu Cha kushangaza ..Kwa sababu hata mwanza itajengwa dual carriage ya kutoka Usagara Hadi geita km 50,,,na kutoka town Hadi njia panda ya kuelekea kahama km 55 .
Kutoka town Hadi nyanguge km 35 na ..
JUMLA ya km 140 dual carriage.
Sent using Jamii Forums mobile app
π π π π Kahamisha goli huyu tayariChuga sio majengo ni lifesyle, $ dola, madini, chakula mzuriii, watalii kibao...mwanza kitu gani..hakuna pesa...hakuna matajiri wanaoweza tupa pesaa... ubabe wa kutosa.. watoto wakali.. mwanza ni maushamba tuu... chaga !! Ni balaaa...
Hela zilishatokaHyo mipango sio kitu Cha kushangaza ..Kwa sababu hata mwanza itajengwa dual carriage ya kutoka Usagara Hadi geita km 50,,,na kutoka town Hadi njia panda ya kuelekea kahama km 55 .
Kutoka town Hadi nyanguge km 35 na ..
JUMLA ya km 140 dual carriage.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ziwa natron liko wapiSasa shamba city munaleta mapicha sa vivuko kwani sisi tuna lake π€£π€£π€£π€£
Ndio maana hupost nyumba moja moja na sio picha ya juu, π€£π€£
AIM MALL na Buzuruga plaza yanautofauti gan?Nikileta picha mtakimbia. Google mbona zipo nyingi? Tatizo zitakuwa compressed sana. Ishi na hizo kwanza.