Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Maumivu yakizidi nendeni Kwa daktari
Screenshot_20220916-123052.png
 
Mimi nipo Arusha, hakuna ambacho sijui. Njoo Sinoni uone hayo maisha. Kima wewe
Kama ni slam ziko kila mahali hata kibera kenya ndio maana takwimu zinaonesha mwanza ni masikini na top ten ipo. Wewe ni mmojawapo wa wasukuma waliogoma kurudi kwao kwa sababu ya uzuri wa Chugga.
 
Unajidanganya, itajengwa dualcarriage way from Tengeru all the way hadi Holili...ni dualcarriage way ndefu itakayounganisha Arusha na Kilimanjaro hadi mpakani Rombo...
Bila kusahau barabara za miji, kuna barabara ya kuunganisha wilaya ya siha na rombo nayo inakuja...
Kwa kifupi serikali hua haikosei kujenga sshemu ambazo wanaokota kodi hua wanajua wanachofanya

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hyo mipango sio kitu Cha kushangaza ..Kwa sababu hata mwanza itajengwa dual carriage ya kutoka Usagara Hadi geita km 50,,,na kutoka town Hadi njia panda ya kuelekea kahama km 55 .
Kutoka town Hadi nyanguge km 35 na ..
JUMLA ya km 140 dual carriage.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuga sio majengo ni lifesyle, $ dola, madini, chakula mzuriii, watalii kibao...mwanza kitu gani..hakuna pesa...hakuna matajiri wanaoweza tupa pesaa... ubabe wa kutosa.. watoto wakali.. mwanza ni maushamba tuu... chaga !! Ni balaaa...
 
Hyo mipango sio kitu Cha kushangaza ..Kwa sababu hata mwanza itajengwa dual carriage ya kutoka Usagara Hadi geita km 50,,,na kutoka town Hadi njia panda ya kuelekea kahama km 55 .
Kutoka town Hadi nyanguge km 35 na ..
JUMLA ya km 140 dual carriage.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado tuna reli za kwenye maji. Mv. Umoja - TZ . Mv. Uhuru 1 & 2 - KE, Mv. Kahwa, Mv. Pamba - UG na tunategemea kuongezewa reli nyingine ya kwenye maji na serikali ya SSH.

images
1677044606004.png
 
Chuga sio majengo ni lifesyle, $ dola, madini, chakula mzuriii, watalii kibao...mwanza kitu gani..hakuna pesa...hakuna matajiri wanaoweza tupa pesaa... ubabe wa kutosa.. watoto wakali.. mwanza ni maushamba tuu... chaga !! Ni balaaa...
😀 😀 😀 😀 Kahamisha goli huyu tayari
 
Back
Top Bottom