fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
Arusha kuna ndege za kimataifa ?????Mall kubwa tanzania nzima inaitwa AIM mall ipo Arusha. Tembea uone. acha assumptions. Kaa ukijua mimi ni mzawa na mkazi wa Dar by the way. Kiserikali utafeli. Maana Jiji la Arusha na jiji la mwanza yani ilemela. Ilemela imeachwa kila kitu kuanzia mapato , uwekezaji nk. unasahau arusha Triple A, Club D ndio kubwa kwa Tanzania, au kwakuwa wenzetu hawana maneno maneno sana? c'mon Mwanza hakuna ata ndege ya kimataifa ya abiria hadi leo hii. Embu acha zako wewe. Mwanza ni pakishamba sana yani.
Ndio. KIA serves 98 percent Arusha foh.Arusha kuna ndege za kimataifa ?????
KIA haipo ArushaNdio. KIA serves 98 percent Arusha foh.
Umemaliza au niongeze[emoji350]Vitu vilivyonivutia arusha
1.uwanja wa golf mkubwa na wa kisasa EA nzima kili golf club
2. Uwanja mkubwa wa mashindano ya farasi
3.uwanja mkubwa wa mashindano na michezo ya pikipiki
4.art gallery
5.kiwanda local cha bia aina ya twiga
6.mahakama ya africa
7.eneo pekee la zipline Tanzania
8.hotel nyingi za nyota 4 na 5
9.supermarket nyingi
10.apartment nyingi na airbnb nyingi kushinda hata dar
Ongeza mkuuUmemaliza au niongeze[emoji350]
mzito wewe kuelewa, uwanja kijiografia upo kilimanjaro lakini wanaoutumia ni arusha kwa asilimia karibu zote. Elewa. Wakitua tu kina Bill Gates, directly wanaitafuta Arusha, mwanza hakuna mtu ana muda nayo saa hiyo. Yani of little importance.Arusha kuna ndege za kimataifa ?????
mzito wewe kuelewa, uwanja kijiografia upo kilimanjaro lakini wanaoutumia ni arusha kwa asilimia karibu zote. Elewa. Wakitua tu kina Bill Gates, directly wanaitafuta Arusha, mwanza hakuna mtu ana muda nayo saa hiyo. Yani of little importance.
sasa kama kashukia KIA na ndio uwanja wa kimataifa wa ndege na hapo kilimanjaro na arusha jiran aje mwanza kufuata nini wakati yeye kaja kutalii?mzito wewe kuelewa, uwanja kijiografia upo kilimanjaro lakini wanaoutumia ni arusha kwa asilimia karibu zote. Elewa. Wakitua tu kina Bill Gates, directly wanaitafuta Arusha, mwanza hakuna mtu ana muda nayo saa hiyo. Yani of little importance.
Matapeli.....Eti matajiri wa Mwanza ni majambazi na Arusha tusemeje sasa!
Wanakuja kushangaa ngedere wa ngorongoro na jamii ya kimasai wanavyoishi kilocal.Arusha ni sehem pekee ambapo wazungu wakifika wabapashangaa
nyie mnasema mwanza ya mwaka gani jaman? arusha sehemu ya mji ni ndogo sana aisee yaan ukitoka nje kidogo ya mji tayar majanga ...mwanza jiji jaman nyie achen masiharaMwanza hadi leo wanashangaa mtu mweupe, chotara nk. Mwanza ni shambani tu. Poor exposure ndio maana wanauziwaga magari mabovu.
ukatoka hapa ukaenda kufungua thread nyingine ili ujifurahishe🤣🤣nyie mnasema mwanza ya mwaka gani jaman? arusha sehemu ya mji ni ndogo sana aisee yaan ukitoka nje kidogo ya mji tayar majanga ...mwanza jiji jaman nyie achen masihara
Angalia ulichoandika!ukatoka hapa ukaenda kufungua thread nyingine ili ujifurahishe🤣🤣
Wewe ndo mzito kuelewa umesema ndege za kimataifa zinatua Arusha nikakuuliza zipi.mzito wewe kuelewa, uwanja kijiografia upo kilimanjaro lakini wanaoutumia ni arusha kwa asilimia karibu zote. Elewa. Wakitua tu kina Bill Gates, directly wanaitafuta Arusha, mwanza hakuna mtu ana muda nayo saa hiyo. Yani of little importance.
hili battle sio la kwanza wala la pili na hakuna jibu chanya litakalopatikana kwenye hili battle maana naona watu wa Arusha hamtaki kabisa kukubali ukwel kwamba mwanza ipo juu.....kiserikaliAngalia ulichoandika!
Mwanza imekusanya makabila yafuatayo:Wanawake wepi kati ya mwanza na arusha wana misambwanda wazeee
Ova
Umekuwa mkweliMimi niko Arusha miaka yote maeneo mengine nafanya kutembelea ila kusema ukweli Arusha Bado kuifananisha na mwanza
Alaa kwa hiyo wewe tuu ndio umefanya Kazi hapo Arusha? Hayo maendeleo makubwa yako wapi?
Kupiga domo mko vizuri sana ila sasa ukiambiwa onyesha hayo maendeleo unapotea..
Hiyo Arusha ni zaidi ya Utalii,kuna viwanda hadi vya kutengeneza transformers,kitovu cha mbegu na utafiti wa teknolojia za kisasa za kilimo,taasisi za elimu nk.
Ukikuta vitu kama hivi hapa huko Mwanza ni tag
View attachment 2057005
View attachment 2057006
View attachment 2057007
View attachment 2057008
View attachment 2057009
View attachment 2057010
View attachment 2057011
View attachment 2057012
View attachment 2057013
View attachment 2057014
unahangaika kutuma mi picha picha yanini kijana, yani unapambana na sehemu iliyo tangazwa kua jiji mwaka 2000 kipindi wewe bado unajinyea na kutawazwa dhidi ya arusha?