Ukipigwa ndoige unakimbilia population [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Unaendelea manake bado.
Yes system inaanzia chini...kwa population ya chuga naona namba haziko vibaya...
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Unawaambia nini mbeya na Kilimanjaro ambao imewazidi population [emoji28][emoji28][emoji28]ila wamekupiga kwenye healthy systemUnaendelea manake bado.
Yes system inaanzia chini...kwa population ya chuga naona namba haziko vibaya...
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kilimanjaro ni mkoa ulioendelea nyuma ya Dar sishangaiUnawaambia nini mbeya na Kilimanjaro ambao imewazidi population [emoji28][emoji28][emoji28]ila wamekupiga kwenye healthy system
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuanenda na uhalisiaUkipigwa ndoige unakimbilia population [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kutoka Dar ndo kunaongeza idadi ya clubs na sehemu zingine za Bata Arusha. Kifupi sijawahi kukuelewa. Leta ushahidi basi tushindane vizuri kijanaSasa hapo unaweza ukafananisha na empire tu? Bado the hub, kipong? Tena kwenye bata ndo asijaribu yani, sijui ma club sijui nini, mwanza tulizeni kipago. Tuliotoka dar tunajua.
Basi inabidi ukubali na mwanza imeendelea kuzidi nyieKilimanjaro ni mkoa ulioendelea nyuma ya Dar sishangai
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mwanza ni mkoa masikini kijana by average, kuna wazembe wengi wanawavuta nyuma
Hyo avarage umepima wapiMwanza ni mkoa masikini kijana by average, kuna wazembe wengi wanawavuta nyuma
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ushahidi uko wapUkiondoa Dar, Arusha inafuatia kuwa na uwekezaji mzuri kwenye huduma za afya.
Walau pia nafasi ya kuokoa maisha yako ni kubwa sana kwa kupata matibabu sahihi.
2016 [emoji16][emoji16] tunataka ya sasaMkeka huo hata ukiukataa upo wa NBS KabisaView attachment 2528920View attachment 2528922View attachment 2528923
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Unaonaje ukileta current data [emoji849]Mkeka huo hata ukiukataa upo wa NBS KabisaView attachment 2528920View attachment 2528922View attachment 2528923
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Bado mnahali chafu nikisema mimi mnahisi hadithi...
Data bila time ,,ni rubbish [emoji706][emoji706][emoji706]Bado mnahali chafu nikisema mimi mnahisi hadithi...
Nilikuambia Kilimanjaro ndio mkoa ulioendelea nyuma ya Dar nilikua namaanishaView attachment 2528929
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa ili nikuone uko timamu nipe data zako zinazosema otherwise
Kama hyo hapo juu unaikubali ,, inabidi na hii uikubali[emoji116]Sasa ili nikuone uko timamu nipe data zako zinazosema otherwise
Kama Huna basi tafuta agenda ingine
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Pato la mkoa sio utajiriKama hyo hapo juu unaikubali ,, inabidi na hii uikubali[emoji116]View attachment 2528948
Sent using Jamii Forums mobile app