Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Sasa hapo unaweza ukafananisha na empire tu? Bado the hub, kipong? Tena kwenye bata ndo asijaribu yani, sijui ma club sijui nini, mwanza tulizeni kipago. Tuliotoka dar tunajua.
Kwani kutoka Dar ndo kunaongeza idadi ya clubs na sehemu zingine za Bata Arusha. Kifupi sijawahi kukuelewa. Leta ushahidi basi tushindane vizuri kijana
 
Ukiondoa Dar, Arusha inafuatia kuwa na uwekezaji mzuri kwenye huduma za afya.

Walau pia nafasi ya kuokoa maisha yako ni kubwa sana kwa kupata matibabu sahihi.
 
Hyo avarage umepima wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkeka huo hata ukiukataa upo wa NBS Kabisa
Screenshot_20230224_220939_Chrome.jpg
Screenshot_20230224_221133_Chrome.jpg
Screenshot_20230224_221144_Chrome.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom